Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Ukweli ni kwamba kutokana na ongezeko la social Media ni kwamba mwanamke mmoja anatongozwa na wanaume kuanzia watano minimum!na kuondelea 10etc,na wote wanakuja na some message I love so much!,kwa jinsi navyoona inakuwa ni ngumu kuamini yule ni yupi na yupi anamaanisha!!
Hapa ndio linakuja suala na uchumi,ili mwanamke oane unamjali ni lazima may be umtoe out,ama kumnununulia zawadi ama kumjali kwa vitendo!
Sasa utamnunulia vipi zawadi kama hauna pesa!?,utamtoa vipi out kama hauna pesa?,utamjali vipi kwa vitendo kama huna chochote cha kumpa zaidi ya kumwambia I love you!?
Walah!kwa vile Mimi ni bahili nimejikuta tu roho inaniuma!
Money is not everything but is a only thing!
Hapa ndio linakuja suala na uchumi,ili mwanamke oane unamjali ni lazima may be umtoe out,ama kumnununulia zawadi ama kumjali kwa vitendo!
Sasa utamnunulia vipi zawadi kama hauna pesa!?,utamtoa vipi out kama hauna pesa?,utamjali vipi kwa vitendo kama huna chochote cha kumpa zaidi ya kumwambia I love you!?
Walah!kwa vile Mimi ni bahili nimejikuta tu roho inaniuma!
Money is not everything but is a only thing!