Nimempiga mtoto kibao, nimelia mimi

Wewe itakuwa ukikata vitunguu ndio unamsingizia kijikofi cha mtoto.
Endelea hivyo hivyo kulizwa na vitunguu maji
 
Watoto wa siku hizi sio wakupiga hovyo kutokana na Life style iliyopo kanaweza kuzima hapohapo, uwe unakavuta masikio tu na kufinya katikati ya mapaja kumpiga banzi marufuku
 
Back
Top Bottom