benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,066
Nimeumia sana. Sijawahi kumpiga mtoto wangu ila aliniudhi nikajikuta nampiga kibao. Nimelia mimi, inauma sana.
Sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana maanamimi sijambeba tumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje.
Mungu awape nguvu wamama wote.
Sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana maanamimi sijambeba tumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje.
Mungu awape nguvu wamama wote.