kimbweto
Member
- Oct 6, 2012
- 53
- 189
Naona kuna picha zinasambaa mama mmoja anasema wanaume wanafika kileleni dakika ya pili ya mechi sasa kufika kileleni mapema ni dalili kwamba nguvu zako zipo karibu au zipo mbali maana hata sielewi maana hasa ya kuishiwa nguvu za kiume.kwasababu hata mechi ikirudiwa tena dakika ya pili ile ile linafungwa tena sasa hii maana yake nini nguvu haipo au nguvu ipo ila ina kiherehere.kipi kipimo cha nguvu za kiume kuchelewa au kuwahi