Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,473
- 4,007
Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO ni kwamba kama wewe huna penzi basi ni dhaifu
EeehNikajua kama huna wapenzi kumbe mpenzi..
Vipi wewe Kamau mbona unashangaa.Eeeh
Disability kwa Kiswahili ni dhaifu? Unaweza kumuita disabled person A WEAK PERSON?Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO ni kwamba kama wewe huna penzi basi ni dhaifu
View attachment 1148791
Disabled =mlemavuDisability kwa Kiswahili ni dhaifu? Unaweza kumuita disabled person A WEAK PERSON?
That's it.Wait, kwahiyo kukosa mpenzi ni ulemavu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Do you feel offended ?Hapana si kweli hilo lisemwalo
Direct translation haileti maanaDisability kwa Kiswahili ni dhaifu? Unaweza kumuita disabled person A WEAK PERSON?
udhaifu sio ulemavu, umewahi sikia kuna mlemavu wa uume????Wait, kwahiyo kukosa mpenzi ni ulemavu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Bila shakaDo you feel offended ?
Weak,dhaifu sio neno zuri.Direct translation haileti maana
Mmmmh!That's it.
Hata mimi nimefikiria hivyo[emoji1745]Weak,dhaifu sio neno zuri.