Wanaume wanaojituma wanapungua, nini kifanyike?

Wanaume wanaojituma wanapungua, nini kifanyike?

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
8,273
Reaction score
25,297
Habari wakuu,

Twende kwenye mada...

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...

Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.

Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.

Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.

Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".

Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.

Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..

Ni hayo tu...

Karibuni...
 
Siungi mkono swala la mashoga lakini inatakiwa ujue mazingira ya kutafuta pesa yamebadilka kutokana na tecknolojia kukua kadiri siku zinavyozidi kwend hutoana watu wakiendelea kufanya kazi ngumu kama kubeba mizigo mizito na bado watu utaona wanaishi maisha mazuri
 
Sure '' I agreed with you mkuu
Siungi mkono swala la mashoga lakini inatakiwa ujue mazingira ya kutafuta pesa yamebadilka kutokana na tecknolojia kukua kadiri siku zinavyozidi kwend hutoana watu wakiendelea kufanya kazi ngumu kama kubeba mizigo mizito na bado watu utaona wanaishi maisha mazuri
 
Habari wakuu,

Twende kwenye mada...

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...

Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.

Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.

Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.

Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".

Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.

Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..

Ni hayo tu...

Karibuni...
Ni kweli wanaume siku hizi wanataka 'soft life'.....kila kijana anataka kua msani eti atatoa single mda wowote......wakati hata kipaji hamna kazi yao nikula chips zilizo changanya na mayaye chakula cha kike hicho
 
Yote heri tu.
Maana zamani mwanaume hupewa kazi na baba yake, kama kulima shamba au kufuga na ufundi.

Lakin wazazi siku hiz wanatupatia elimu pekee kisha wanakwambia tafuta sehemu upewe ajira na ajira zenyewe za kugombania.

Tunagombania kwa pamoja me na ke.

So, wacha vijana waendelee kudanga.
Utandawazi haki sawa kwa wote.
 
Habari wakuu,

Twende kwenye mada...

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...

Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.

Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.

Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.

Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".

Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.

Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..

Ni hayo tu...

Karibuni...
Donatila mm ni mwanaume. Ndio kuna baadhi ya waenzangu ambao ni tabia zao. Hahangaik... wapo tu.. hata kazi za kutolea hawaendi.
Tatizo linaanzia kwenye malezi.. wazaz muwakuze watoto wenu ktk malezi sahihi.
 
Nafiri anachosema mtoa mada ni ile hari ya utafutaji. Mbinu zinaweza kuwa tofauti.. lakin pesa zije. Tatizo ni kwamba hata mbinu hakuna.. mtu amekaa tu
Mfumo wa utafutaji umebadilika...

Zamani ilimuhitaji mwanaume kuwa na nguvu za kimaumbile kuweza kuzalisha...

Kwa sasa inahitajika nguvu ya akili (maarifa) ili kuweza ku-survive...

Tuulaumu mfumo na si watu
 
Habari wakuu,

Twende kwenye mada...

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...

Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.

Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.

Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.

Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".

Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.

Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..

Ni hayo tu...

Karibuni...
Kumbe kujituma kwingine. Nilidhani ni kule kunakohitaji nguvu za ziada
 
zeshchriss kwani mario wameanza leo?

Hii dunia ni ya kibepari. Kila mtu anafanya anachoweza. Sasa kama Nimepata Suger mom kanipenda na ana pesa nikatae?

Anyway, kazi watu wanafanya. Huko kujituma anakotaka mtoa mada sijui ni kupi. Hakuna mtu hajitumi sehemu ambako hakuna pesa
Kwahiyo namna mlioiona ni nyinyi kuwa marioo sio?
 
Mfumo wa utafutaji umebadilika...

Zamani ilimuhitaji mwanaume kuwa na nguvu za kimaumbile kuweza kuzalisha...

Kwa sasa inahitajika nguvu ya akili (maarifa) ili kuweza ku-survive...

Tuulaumu mfumo na si watu
One of the best comment big up mkuu..
Katika kusikiliza interviews nyingi za wanawake kuhusu wanaume gani wanawapenda ni madam Rita wa BSS pekee alisema anapenda mwanaume ambaye yuko vizuri upstairs (IQ nzuri) anaamini mwanaume akiwa na smart brain basi rahisi kukabili changamoto
 
Back
Top Bottom