Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

People go through dry spells in the bedroom for all kinds of reasons. Maybe they’re busy, or maybe they’re single. Or they might just decide they want a break. If that break goes on long enough...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Mimi ni mwanamke wa miaka 27, sijaolewa ila nina mchumba wangu amabye kashajitambulisha kwetu ametoa mahari na mwezi wa 10 mungu akipenda tutafunga ndoa. Mimi na mchumba wangu tuko vizuri, mimi...
2 Reactions
44 Replies
7K Views
Wakuu, Nimetokea kumpenda msichana kwa sasa yupo Dar ila nawaza kumuoa ila nahofia mama yake tunajuana tena vizuri lakini hamna undugu. Nifanyeje nifanikishe?
0 Reactions
31 Replies
5K Views
kipepe JR. mbele yenu waungwana. once again! ebana kwanza niwashukuru waliolianzisha jukwaa hili, kwani ndio walionifanya sasa nimempata 'wife material' siku chache zilizopita, niliweka bandiko...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi nimekuwa nikifuatilia nyuzi nyingi katika jukwa letu pendwa la nimegundua kuwa Me wengi wamekuwa wakilalamika suala la kukutana na Wanawake wenyewe tatizo la Kunuka" K" nikaonelea...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wazee wenzangu haya mambo bwana hayaitaji elimu kwa kweli ni yapo Naturally tu, kwa maana ya kwamba elimu kila siku humu inatolewa tusigawe pesa kwa wanawake ambao si wake zetu lakini mimi...
7 Reactions
154 Replies
11K Views
Daaah naandika kwa majonzi @fundibishoo mimi roho inauma iko hv Kuna manzi ambae nampigia misele kama week hivi nilikua naenda mtaan kwao kupga rada basi nlikua na washkaji zangu wawili mmoja ndo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume. Nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe wenzangu nione mnishauri nini. Ni hivi, ninaishi na mke...
34 Reactions
348 Replies
43K Views
Habari za mida wakuu, pia herini ya mwaka mpya. Kama kichwa kinavyojielezea, ni mgegedo upi ulokutoa mbali uufate? Mimi binafsi kuna mwanamke kanitoa Moshi mpka Mikumi kwa ajili ya mgegedo ila...
7 Reactions
154 Replies
21K Views
Mke huyo pichani ameripotiwa kumchoma visu mumewe huyo na kujaribu kumuwekea sumu Kwenye chakula Ili apate nafasi ya kutanua na wanaume wengine nje ya ndoa ! _ Mrembo huyo Kwa jina la Hannan...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Baada ya kitambo kidogo cha kudharauliwa mie mr Zero na ndugu zangu Demiss Viatu vya Samaki katoto kazuri ndege JOHN Na wengine wengi pia na licha ya kumiliki kiwanda changu Adhimu kabisa cha...
23 Reactions
86 Replies
8K Views
Habari wana jukwaa . Naomba niwashirikishe jambo moja kisha tulipatie jibu lenye uhakika. Nina shauku ya kufahamu ni yupi mwenye mapenzi ya kweli kati ya mtu mke na mtu mume ? Ni mara nyingi...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Hili halina ubishi. Domo zege - mwanaume asiyeweza kutongoza Wavivu, - nimetumia kwa wanawake wanaojiua kisa wameachwa na wanaowategemea kiuchumi. Mtu kama unajua kupepeta mdomo na kuimbisha...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi sioni kama Black ni beautiful. Huu msemo uko kama wakujiliwaza kwa watu weusi kujipa moyo lakini ukweli hakuna kitu kizuri cheusi. Vitu vyote vizuri vinavovutia ni nyeupe. Mimi ndio maana...
6 Reactions
42 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu, natumai nyote wazma. Twende kwenye mada ilikuwa mwaka 2014 nimemaliza chuo nikarudi home. Sikuwa na kitu cha kufanya kiniingizie kipato kwa hiyo muda wote nilikuwa nalala tu...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wana JF,, Kumekuwa na utata katika kutofautisha haya mambo mawili yaani kupenda na kutamani kwa sababu mtu anaeza kuact anakupenda kumbe amekutamani na mwingine ukahisi ametamani kumbe...
3 Reactions
74 Replies
7K Views
Kutokana na changamoto za maisha au ugumu wa utafutaji,imepelekea mapenzi ya kweli kupotea.Unaweza kufikiri unapendwa kweli,kumbe unapendwa kwa sababu unalipa bill.Swali la kujiuliza,pale...
15 Reactions
70 Replies
5K Views
Kwa Mujibu wa Adam Grant mwandishi wa kitabu cha “Give and Take” kuna aina kuu tatu za marafiki katika maisha yetu.Na wewe pia unaangukia katika aina mojawapo ya kundi hili kama rafiki wa wengine...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Mtu akiwa kwake anabana matumizi analewa pombe ngumu ngumu ila ukimualika tuu mpate mbili tatu ataanza ohh ntakunywa reds, baada ya chupa nne utaskia mhh yani hizi reds sijiskii kulewa kabisa...
2 Reactions
85 Replies
8K Views
Habari za asubuhi wakuu! Kama heading inavyojieleza hapo juu, katika tathmini yangu ya muda mrefu kila couple/wapenzi nnaokutana nao au nnaowafahamu ni nadra sana tena sana kukuta mwanamke ni...
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Back
Top Bottom