Wanaume msiolea watoto wenu msitegemee upendo wao

Wanaume msiolea watoto wenu msitegemee upendo wao

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,637
Reaction score
220,408
Kuna wanao kimbia au kukataa watoto. Uzeeni wakiwa na shida ndiyo hutafuta watoto wao.

Kuanzia umri wa miaka mitatu, ubongo wa mtoto unatunza kumbukumbu. Wengi mnakumbuka jinsi mzazi alivyokufundisha kuvaa kiatu cha mguu wa kulia na kushoto, kufunga kamba za viatu, kutandika kitanda, kwa wengine kucheza mpira pamoja au kuendesha baiskeli.

Kwa waliokosa haya kutoka kwa wazazi wengine wali iga mitaani na wengine imewaharibu ki saikolojia mpaka ukubwani.

Ume kaa miaka yote mnaishi kwa biashara ya mama ntilie anaofanya mama. Kuna siku ilibidi akakope kwa viongozi wa dini ili upate kwenda shule au matibabu. Leo hii kuna lizee linakuambia yeye ndiye Baba yako mzazi.
 
Mafurushi ya hivyo baadae yanakuja na kauli kama "mzazi ni mzazi tu" kisa kaning'iza via vya uzazi.
Au atalaumiwa mama kuwa kamjaza sumu mtoto wakihisi watoto ni wajinga hawaelewi wala hawaoni kinachoendelea.
Wakati huo anaitwa huko kuonyeshwa kaburi la babu yake, akirudi ankuambia mama nina kwetu.
 
Kuna wanao kimbia au kukataa watoto. Uzeeni wakiwa na shida ndiyo hutafuta watoto wao.

Kuanzia umri wa miaka mitatu, ubongo wa mtoto unatunza kumbukumbu. Wengi mnakumbuka jinsi mzazi alivyokufundisha kuvaa kiatu cha mguu wa kulia na kushoto, kufunga kamba za viatu, kutandika kitanda, kwa wengine kucheza mpira pamoja au kuendesha baiskeli.

Kwa waliokosa haya kutoka kwa wazazi wengine wali iga mitaani na wengine imewaharibu ki saikolojia mpaka ukubwani.

Ume kaa miaka yote mnaishi kwa biashara ya mama ntilie anaofanya mama. Kuna siku ilibidi akakope kwa viongozi wa dini ili upate kwenda shule au matibabu. Leo hii kuna lizee linakuambia yeye ndiye Baba yako mzazi.
Wanaume wachache wanakimbia familia sio kwa kuwatelekeza bali kwa ugumu wa maisha anakimbia ili akatafute maisha na akiyapata anarudi home ili achukue familia anakuta tayar mwanamke keshazalishwa tena kumamake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume wachache wanakimbia familia sio kwa kuwatelekeza bali kwa ugumu wa maisha anakimbia ili akatafute maisha na akiyapata anarudi home ili achukue familia anakuta tayar mwanamke keshazalishwa tena kumamake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Matatizo hayakimbiwi pambana hapohapo au muwe na mawasiliano mazuri ikiwezekana wabebe
 
Hahaha wanaanza kukumbuka chuki za mama dhidi ya baba kwanza...

Sisapoti kutokulea watoto ila hili uzi ukamilike na nyie muache kupandikiza chuki watoto,roho zenu mbaya bakini nazo wenyewe..

Halafu ukijua mapenzi yameisha usiwe na kiburi Cha kumwambia Mwanaume Sina dhiki nitalea mtoto mwenyewe Kisa amekuacha wewe, basi unataka kujimilikisha mtoto sababu kwa kipindi hicho una uwezo wa kulea mwenyewe.
Mapenzi ya kiisha acha chuki kaa chini pangeni namna ya kulea mtoto wenu...

Chuki chuki chuki ndo sababu ya kwanza,ya pili ndo hiyo mtoto mwenyewe anakujua kugundua kumbe dingi Ni mizinguo ila kabla hajagundua anakuwa keshalishwa machuki na mama yake...
 
mwanaume tunazalisha hata uzeeni.


mwanaume wa kweli ukizaa watoto wawili na mwanamke wa kwanza sikilizia kwanza kama wana akili ndo uzae tena, kama wajinga wajinga na wanamsikiliza sana mama yao my friend picha chuni wote kama Dr wa uchagani (rip) kisha piga mimba pengine hadi uone kuwa kuna mtoto mwenye akili ndipo utulie sasa.


usizani wanaume hatuwazi miaka 50 mbele, binafsi hata nikiwa 60 yy wakanikataa watoto ntaoa tena nazaa kabisa.
 
mwanaume tunazalisha hata uzeeni.


mwanaume wa kweli ukizaa watoto wawili na mwanamke wa kwanza sikilizia kwanza kama wana akili ndo uzae tena, kama wajinga wajinga na wanamsikiliza sana mama yao my friend picha chuni wote kama Dr wa uchagani (rip) kisha piga mimba pengine hadi uone kuwa kuna mtoto mwenye akili ndipo utulie sasa.


usizani wanaume hatuwazi miaka 50 mbele, binafsi hata nikiwa 60 yy wakanikataa watoto ntaoa tena nazaa kabisa.
Nimecheka sana kuhusu hii reference
 
BABA atabakia kua baba tuu hatamkatae vipii hilo ni biologicaly ukipinga utakua ni upumbavu wako tuuu..

Wakati mnapanua hamkujua kuna option zaidi ya moja kwenye malezi.?! Mnajenga chuki kwa watoto sababu ya ujinga wenu binafsi na visasi vyakipuzi..

Hasira zako husiamishie kwa watoto..uliyataka mwenyewe
 
Hilo lipo wazi. Wala huhitaji kwenda shule kutambua hiyo kitu. Sema na nyinyi msiwe mnawalisha watoto maneno ya kiswahili yenye kuwajengea watoto chuki.
Ukifanya hivyo wewe huna tofauti na huyo mwanaume mpumbavu aliyekataa kulea mwanae.
 
Kuna wanao kimbia au kukataa watoto. Uzeeni wakiwa na shida ndiyo hutafuta watoto wao.

Kuanzia umri wa miaka mitatu, ubongo wa mtoto unatunza kumbukumbu. Wengi mnakumbuka jinsi mzazi alivyokufundisha kuvaa kiatu cha mguu wa kulia na kushoto, kufunga kamba za viatu, kutandika kitanda, kwa wengine kucheza mpira pamoja au kuendesha baiskeli.

Kwa waliokosa haya kutoka kwa wazazi wengine wali iga mitaani na wengine imewaharibu ki saikolojia mpaka ukubwani.

Ume kaa miaka yote mnaishi kwa biashara ya mama ntilie anaofanya mama. Kuna siku ilibidi akakope kwa viongozi wa dini ili upate kwenda shule au matibabu. Leo hii kuna lizee linakuambia yeye ndiye Baba yako mzazi.
Uko sahihi ....

Naomba niishie hapa....
 
Back
Top Bottom