Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,014
- 1,498
Salaam wakuu? leo nilikua napita kwenye mitaa ya Bonyokwa, nje ya nyumba moja kulikua kumejaa watu wanamshambulia mwizi, bila shaka kila mmoja wetu hapa kipigo cha mwizi anakifaham, kwa bahati yake askari polisi walikua wanapita wakamnusuru. ndani ya ile nyumba kuna kijana shoga anaishi katoka nje na shati lake mkononi, wasichana ambao mwenyewe anaona ndio wenzie wanamuuliza wewe mbona hujampiga mwizi!? "haaaa, akang'aka nimelipiga na mito miwili sijui kama halijenda kufa lile" hadi sasa sijamuelewa anavyojiona, wakuu ushoga mbaya tuwahurumie sana.