Mwanamke mcharuko

Mwanamke mcharuko

Da Sophy

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
388
Reaction score
162
Akiolewa anatulia tuliiiii! Utadhania hata siyo yeye.
Mwanaume sasa! Loooh! Unakuta mkaka mtulivu ka vile ana undugu na mitume, ngoja aoe, sijui wanakutaga nini huko ambacho hawakukijua! Anaanza kupurura mara huku mara kule hatulii.
Nini shida?
 
Akiolewa anatulia tuliiiii! Utadhania hata siyo yeye.
Mwanaume sasa! Loooh! Unakuta mkaka mtulivu ka vile ana undugu na mitume, ngoja aoe, sijui wanakutaga nini huko ambacho hawakukijua! Anaanza kupurura mara huku mara kule hatulii.
Nini shida?
Natumai hii meseji ulikuwa unachati na shoga yako ila umekosea ukaituma huku.
 
jifunze kupost ukaeleweka, haraka ya nn dada
 
Ni zamu yake sasa, kama wewe umetulia nadhani inatosha.
 
Jana tu, kuna bidada miaka ya nyuma alikuwa kipenzi changu, baadaye akaolewa na ofisa moja wa jeshi...... Nikakutana na bidada huyo jana nikataka nikumbushie enzi, alinishangaa km vile hajawahi kunipa yaani hanifahamu kabisaaaa. Yaani km vile ndo naanza kutongoza upya kabisa
 
Aiseee.
Akiolewa anatulia tuliiiii! Utadhania hata siyo yeye.
Mwanaume sasa! Loooh! Unakuta mkaka mtulivu ka vile ana undugu na mitume, ngoja aoe, sijui wanakutaga nini huko ambacho hawakukijua! Anaanza kupurura mara huku mara kule hatulii.
Nini shida?
 
Utakuwa umeleta jeuri wewe jamaa kaanza kutembeza rungu sasa unakuja kulalama huku atakusikia au unataka faraja tu?
 
Back
Top Bottom