NINADATE NA MDOGO AKE

NINADATE NA MDOGO AKE

zombieboy

Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
54
Reaction score
73
kuna dem bana tulikua na mahusiano kama miez 5 ivi.asa sijui alipataga mhun wa kumpa hizi chips chips nlishangaa ghafla ananiblock sehem zote tulizokuwa tukiwasiliana,nkaona isiwe kes nkaomba cm ya mshikaj wangu nkampigia aliposkia saut yangu akakata cm.kumbe bna ana mdogo ake na ananikubal ile mbaya nmeamua kudate nae
akili yangu inawaza nmnyanganye nguo zote nlizomnunulia nmpe mdogo ake ad malapa kudadek

ZOMBIE BOY
 
akili yangu inawaza nmnyanganye nguo zote nlizomnunulia nmpe mdogo ake ad malapa kudadek
Ukifanya hivyo utaharibu alafu utakosa pote pote. Kama keshakupotezea, mwache aende zake ni kila ulichompa. Anza kuwekeza upya kwa mdogo mtu...
 
Ukifanya hivyo utaharibu na ndo uko na mdogo wake. We muache aende zake
 
kuna dem bana tulikua na mahusiano kama miez 5 ivi.asa sijui alipataga mhun wa kumpa hizi chips chips nlishangaa ghafla ananiblock sehem zote tulizokuwa tukiwasiliana,nkaona isiwe kes nkaomba cm ya mshikaj wangu nkampigia aliposkia saut yangu akakata cm.kumbe bna ana mdogo ake na ananikubal ile mbaya nmeamua kudate nae
akili yangu inawaza nmnyanganye nguo zote nlizomnunulia nmpe mdogo ake ad malapa kudadek

ZOMBIE BOY
wewe ni mwehu na uyo mdogo wako akikubari kuchukua izo nguo nae pia atakuwa mwehu.
 
Kweli wewe Zombie,,, sasa umepiga mambo zote 2 na bado unataka kumpora na malapa,kuwa serious kidogo utarogwa wewe
 
Back
Top Bottom