Habari wana jf..
Hiv ni kweli mtu akishaoa/kuoelewa baadae wakapata mtoto then ndoa ikavunjika je ikitokea mmoja akaoa au kuolewa tena au akapata mahusiano mapya je atakuwa na mapenzi ya dhati kam mwanzo au bado atarudi kwa mzazi mwenzie tu?
Kinategemea nasababu ilio wafanya kutengana na namna mlio tengana kwa amani au kwa funjo.....kuna visa ambao mwana umme hawezi kumsamehe mwana mke au kurudiana nae.Habari wana jf..
Hiv ni kweli mtu akishaoa/kuoelewa baadae wakapata mtoto then ndoa ikavunjika je ikitokea mmoja akaoa au kuokewa tena au akapata mahusiano mapya je atakuwa na mapenzi ya dhati kam mwanzo au bado atarudi kwa mzazi mwenzie tu?