Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,783
- 61,446
Kama unapenda chini usiogope kupima;kuna rafiki yangu huwa tunashauriana katika shughuli mbalimbali...leo amenifuata,akaniambia brother najisikia mgonjwa mgonjwa nimecheki malaria maabara nikaonekana sina...sijui nitakuwa naumwa nini.Nikamshauri,kaangalie UTI,typhoid n.k Jamaa hakwenda,namtafuta baadaye kumuulizia umeenda kucheki.....akasema nimeamua kunywa maji tu nitapona.