MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Nina Mjumbe wangu wa Nyumba Kumi huwa anapenda mno Kufanya Mizaha inayokaribia na Ukweli na Mke wa aliyekuwa Mjumbe wetu wa Nyumba Kumi na hupenda Kufanya Mizaha yake hiyo pale tu akiwa anazungumza na Halaiki ya Watu ( ambao ni Sisi Wananchi wake ) kiasi kwamba tunahisi labda amekuwa akimtamani huyo Mke wa Mtangulizi wake tokea muda mwingi tu na labda anataka sasa Kumtafunia kwakuwa ana Mamlaka yote ya Ujumbe.
Ila Mke wa Mjumbe Mstaafu ni mzuri sana Jamani halafu tokea Mjumbe Mstaafu muda wake umalizike Mkewe ndiyo amezidi sasa kuwa Mzuri na yawezekana ndiyo maana labda Mjumbe wa sasa wa Nyumba Kumi nae hafichi Hisia zake Kwake na mara kwa mara amekuwa akituonyesha Hadharani Sisi wapiga Kura wake wa Mtaani na huenda muda si mrefu akaamua Kumnyang'anya Mjumbe mwenzie Mkewe.
Je nyie mnadhani huyu Mjumbe wangu ( wetu ) wa Nyumba Kumi hawezi Siku moja Kufanya Kweli na Mstaafu akaishia Kulia tu?
Ila Mke wa Mjumbe Mstaafu ni mzuri sana Jamani halafu tokea Mjumbe Mstaafu muda wake umalizike Mkewe ndiyo amezidi sasa kuwa Mzuri na yawezekana ndiyo maana labda Mjumbe wa sasa wa Nyumba Kumi nae hafichi Hisia zake Kwake na mara kwa mara amekuwa akituonyesha Hadharani Sisi wapiga Kura wake wa Mtaani na huenda muda si mrefu akaamua Kumnyang'anya Mjumbe mwenzie Mkewe.
Je nyie mnadhani huyu Mjumbe wangu ( wetu ) wa Nyumba Kumi hawezi Siku moja Kufanya Kweli na Mstaafu akaishia Kulia tu?