Hivi Wanawake wa Kizungu wana mvuto gani?

Hivi Wanawake wa Kizungu wana mvuto gani?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,291
Reaction score
14,786
Binafsi huwa nashangaa sana inakuwaje kuwaje mtu anaacha "vyombo" vizuri na vyenye ngozi nzuri anaenda kwa mzungu ambaye ngozi yake haina hata mvuto?

Kwa wanawake ukweli unaeleweka huwa hawafatagi mapenzi wanafata hela tu.

Nilimuulizaga jamaa angu hapa Iringa ambae ni memba humu ndani hivi hukuwaona Wanawake wa kiafrika? jibu nilitaka nije kuwa na watoto wazuri.
 
Binafsi huwa nashangaa sana inakuwaje kuwaje mtu anaacha "vyombo" vizuri na vyenye ngozi nzuri anaenda kwa mzungu ambaye ngozi yake haina hata mvuto?

Kwa wanawake ukweli unaeleweka huwa hawafatagi mapenzi wanafata hela tu.

Nilimuulizaga jamaa angu hapa Iringa ambae ni memba humu ndani hivi hukuwaona Wanawake wa kiafrika? jibu nilitaka nije kuwa na watoto wazuri.
Kama ww umeadisiwa tu basi hujui lolote. Wadada wakizungu wanakuwaga na advanyage moja tu. Wametulia kichwan jawana papara . Kma unampenda mpende kweli atakupenda pia kama uko kwamuda mwambie mapema.
 
Binafsi huwa nashangaa sana inakuwaje kuwaje mtu anaacha "vyombo" vizuri na vyenye ngozi nzuri anaenda kwa mzungu ambaye ngozi yake haina hata mvuto?

Kwa wanawake ukweli unaeleweka huwa hawafatagi mapenzi wanafata hela tu.

Nilimuulizaga jamaa angu hapa Iringa ambae ni memba humu ndani hivi hukuwaona Wanawake wa kiafrika? jibu nilitaka nije kuwa na watoto wazuri.


Huyo jamaa yako ana matatizo ya akili....kwani watu weusi hawazai watoto wazuri? Kwa kujibu swali lako ni kwamba mapenzi hayana rangi, dini, kabila, wala umbo la mtu.....roho ikipenda imependa tu na mapenzi ya watu hayaingiliwi. Wewe kama unaona mzungu hafai wengine wanawatamani tena kwa udi na uvumba….na pia kuna wengine hawapendi kuwa na wanawake waafrika japo nao ni waafrika.
 
Mademu wa kizungu wanao jitambua/Walio smart kichwani kumtongoza hadi aje akubalie kazi yake si ya kitoto,

Bora demu wa kizungu akupende wew kidume kuliko wew kidume umpende
 
Back
Top Bottom