UYU MWANAMKE SIMWELEW

UYU MWANAMKE SIMWELEW

zombieboy

Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
54
Reaction score
73
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.ilikua mwishon mwa mwez wa 6 nilienda kumtembelea mkubwa angu ambaye n kaka angu anaefanya kaz arusha .sasa sehem alikopanga kuna pia wadada wawili wamepanga na mwngne mwanamke (25yrs) mwenye watoto wawil ambaye Mme wake huwa anamaliza ata miez 2 haji kwa sabb yko nje ya mkoa kikaz.asa ikifika asubuhi wote huenda kazin nabak mm na uyo mwanamke katika uo mjengo na vyumba vpo pemben pemben japo tunashare get moja.uyo mwanamke ana mtindo kila wakiondoka wote anavaa nguo fup yenye kutamanisha na huwa anakuja kuazma CD akaangalie muvi anadai uwa ana kawaida ya kuwa anakuja kuomba CD.asa juz juz baada ya wote kwenda kazn alikuja kubisha hod kavaa kimin cha maana ad kichwa changu cha chin kikaanza kulia yale machoz ya faragha.aliomba CD nkamgeia akaondoka akiniachia maneno ambayo ad leo nayafkria mara mbil mbl alisema "we kaka ww una miaka mingap mbna una tabia za kivivu kufikir.
JAMAN NYIE WANAWAKE HAMTUTAKII MEMA
 
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.ilikua mwishon mwa mwez wa 6 nilienda kumtembelea mkubwa angu ambaye n kaka angu anaefanya kaz arusha .sasa sehem alikopanga kuna pia wadada wawili wamepanga na mwngne mwanamke (25yrs) mwenye watoto wawil ambaye Mme wake huwa anamaliza ata miez 2 haji kwa sabb yko nje ya mkoa kikaz.asa ikifika asubuhi wote huenda kazin nabak mm na uyo mwanamke katika uo mjengo na vyumba vpo pemben pemben japo tunashare get moja.uyo mwanamke ana mtindo kila wakiondoka wote anavaa nguo fup yenye kutamanisha na huwa anakuja kuazma CD akaangalie muvi anadai uwa ana kawaida ya kuwa anakuja kuomba CD.asa juz juz baada ya wote kwenda kazn alikuja kubisha hod kavaa kimin cha maana ad kichwa changu cha chin kikaanza kulia yale machoz ya faragha.aliomba CD nkamgeia akaondoka akiniachia maneno ambayo ad leo nayafkria mara mbil mbl alisema "we kaka ww una miaka mingap mbna una tabia za kivivu kufikir.
JAMAN NYIE WANAWAKE HAMTUTAKII MEMA
Hilo mbona ni jambo jepesi tu mwanaume mwenzangu.Nakumbuka ilishawahi kunitokea stori kama hiyo nikacheza booonge ya filamu.Sikujali nitaonekanaje.At the end Mungu akanipa thawabu.Nikawaza kwamba laiti ningeanguka dhambini thawabu hii ingenipita.Nikajipongeza kimoyo-moyo na kumshukuru Mungu.Hivi 'viungo' vya kwenda navyo pole pole aisee vinginevyo....USISAHAU KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA UANAUME.
 
Ulivyoambia hivyo ulijibu nn? Andaa kondomu kabisa umpige kimoja cha mkwezi (wima) then hama hapo kwa brother wako haraka
 
Hilo mbona ni jambo jepesi tu mwanaume mwenzangu.Nakumbuka ilishawahi kunitokea stori kama hiyo nikacheza booonge ya filamu.Sikujali nitaonekanaje.At the end Mungu akanipa thawabu.Nikawaza kwamba laiti ningeanguka dhambini thawabu hii ingenipita.Nikajipongeza kimoyo-moyo na kumshukuru Mungu.Hivi 'viungo' vya kwenda navyo pole pole aisee vinginevyo....USISAHAU KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA UANAUME.
mkuu umeongea kimafumbo zaid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom