zombieboy
Member
- Jul 1, 2019
- 54
- 73
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.ilikua mwishon mwa mwez wa 6 nilienda kumtembelea mkubwa angu ambaye n kaka angu anaefanya kaz arusha .sasa sehem alikopanga kuna pia wadada wawili wamepanga na mwngne mwanamke (25yrs) mwenye watoto wawil ambaye Mme wake huwa anamaliza ata miez 2 haji kwa sabb yko nje ya mkoa kikaz.asa ikifika asubuhi wote huenda kazin nabak mm na uyo mwanamke katika uo mjengo na vyumba vpo pemben pemben japo tunashare get moja.uyo mwanamke ana mtindo kila wakiondoka wote anavaa nguo fup yenye kutamanisha na huwa anakuja kuazma CD akaangalie muvi anadai uwa ana kawaida ya kuwa anakuja kuomba CD.asa juz juz baada ya wote kwenda kazn alikuja kubisha hod kavaa kimin cha maana ad kichwa changu cha chin kikaanza kulia yale machoz ya faragha.aliomba CD nkamgeia akaondoka akiniachia maneno ambayo ad leo nayafkria mara mbil mbl alisema "we kaka ww una miaka mingap mbna una tabia za kivivu kufikir.
JAMAN NYIE WANAWAKE HAMTUTAKII MEMA
JAMAN NYIE WANAWAKE HAMTUTAKII MEMA