Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,881
- 61,592
Safari yangu ya mapenzi
- Ilianza nikiwa chuo miaka ya 2003;huko sekondari sikuweza kutokana na mazingira yasiyokuwa huru.
- Nilikuwa napiga pombe sana ndio ilikuwa starehe ya kwanza,
- Pia nilikuwa naenda sana club,nikiona mtoto mzuri awe mwafrika,mzungu namuomba tucheze
- Kutokana na kutumia pombe, ikanipatia wapenzi mbalimbali waafrika,wazungu n.k
- Nilikuwa nikimpenda mtu...natafuta namba yake najifanya nimekosea kutuma sms,baada ya hapo mchakato unaendelea.
- Nilikuwa nafunga safari toka mkoa mmoja kwenda mwingine sababu ya demu tu.
- Kutokana na tulivyozoeana chuoni wenzangu wakawa wananipatia namba za totoz wakati hata mimi siwajui;nikawa nazipiga na tunapeana appointment...siku ya kuonana ukimuona mwenzio kimeo...unakimbia kambi;ilifikia mpaka nikapewa jina la mzee wa k
- ha ha ha maisha ya ujana raha sana...