Habar zenu wakuu, nimaimani wote mko na afya njema, wakuu kila mwanamke ninayekutananae mitaani na kumtongoza ni barmade hii nagundua baada ya siku tatu au nne baada ya kunikubalia, kuna wengine ni wahudumu wa gesti na wengine barmade , wakuu nakwama wapi mimi nimekata tamaa ya kutokea wanawake wa mtaani ,hivi nyie mnawasaka wapi mbona wa mitaani wako hivi au maeneo gani naweza kupata mademu ambao decenty