Dunia saiv imechange kwa kiasi kikubwa sana, zamani ilikuwa unapokuwa tayali kupata mke basi kunabaadhi ya njia itabidi upite ili kufanikisha jambo, lkn saiv ukilala na mtoto wa watu ad asubuhi...
Ni takribani miaka tisa (9) tangu nilipokutana na huyu binti ambaye mwanzoni sikujua kama nitakuja kuwa nae na ukaribu uliopelekea kuingia kwenye mahusiano.
Nakumbuka nilikutana na Rose nikiwa...
Wakuu kama kichwa cha habari kilivo, JF kuna watoto wazuri bhana, kuna mtoto mmoja nmebahatika kujuana nae vizuri,
msiulize kama nshonana nae au bado, kiumri naona tunakarbiana, mtoto kaumbika...
Hi guys,
Hope mpo salama,
Nakumbuka ilikuwa jumapili moja hivi tulivu sikuwa sawa kiafya hivyo nilikuwa nimeamua niende hospitali moja ya kidini nikapime ili nijue kinachonisumbua,
Hivyo nikafika...
Naombeni mfunguke tuanze mwaka 2019 vizur tujirekebishe.
Je huwa mnakerwa na mambo gani kutoka kwa wanawake wakat wa sex?
X wangu ameshawahi niambia hivi?
1.Nazungusha mno kiuno mpaka anawahi...
Mauaji ya mapenzi yanazidi kushika kasi kila siku, mauaji ya mapenzi yamekuwepo miaka na miaka ila sababu ya teknolojia sasa yanaonekana ni jambo geni kwa sababu ya uharaka wa kusambaa taarifa...
Mume wangu hapendi niwe facebook, na anataka nijitoe, nami sitaki kujitoa kwa sababu kuna mada motomoto.
Vile vile marafiki na jamaa wananitafuta facebook. Sababu ya kutaka nitoke facebook...
Kuna picha kali sana linachezwa JF kwa sasa naona picha za wadada wazuri na popular zikipandishwa On Air Na wavulana,
Mnajua Zero IQ nikiwatongoza kule PM mnakataa na kusema mimi ni malaya...
Huyu ni mke wa brother wangu kwenye mambo mengine tunaishi fresh tu ila kitu kimoja ananikela ni tabia yake ya usnitc,
Jana nimepigwa kibuti na demu wangu kwa sababu yake ya kutembeza umbea kwa...
Mara ya mwisho alisikika akisema anafuatiliwa na polisi baada ya kumpa mimba mtoto wa Diwani..
Kama kuna mtu yupo Jirani basi tusaidie pia Kama yupo umwelani basi Afande ampe simu awe anatupostia...
Habari wanaJF, naomba mnishauri pia kwa hili.
Nilikutana na binti mmoja mwaka 2012 katika mazingira ya kazini na tukaingia katika mahusiano, binti huyo alikuwa akiishi kwa dada yake mkubwa ambaye...
' #Supamix Tume ya Kudhibiti Ukimwi TACAIDS, imesema maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi yako juu na utafiti mpya umebaini kila saa 1 watu 10 wanaambukizwa maradhi hayo. '
Inamaana hii...
Wakuu naombeni ushauri nimeota ndoto kama mara mbili zinanitokea point namuota x wangu ananililia na kuniarahumu kwanini nimemuacha zinanitokea baada ya mimi kuwa na mahusiano na binti mwingine na...
Naishi na mume na mtoto wa wifi angu ana 26 miaka kaja kurudia mtihan
Kweli ananinyima usingizi bint hataki umwambie chochote akikosea ukimrekebisha ananuna anisemesh
1) ana group la wanafunzi...
Habarini ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu wamawazo juu ya kumuacha mpenzi mlioshibana nae kisawasawa bila kumletea madhara ama hata yakikuwepo yasiwe makubwa kiasi hicho.
Nawasilisha tafadhali.
Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkazia!!
Inabidi dem asisitize,"I HAVE ONLY ONE HEART,PLZ, I CANT LOVE TWO MEN"
Nawewe unaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.