Wakuu ,naleta Uzi huu kwawadada wadada wa chuo ,wanaringa sana ,wanazingua sana ,wengi wapo kimaslahi zaidi
Mwaka jana rafiki yangu amelizwa na demu wa chuo hivi hivi,wadada wa chuo ringeni sana...
Mke asipotoa (tendo), tayari kunakuwa na hisia, anatoka nje ya ndoa. Vivyo hivo kwa mume asipotoa.
Je huu ndio muhimili pekee wa kudumisha ndoa?
Je pasipo tendo hamna ndoa?
Toka nimemwoa ni mwaka wa tano huu. Kiuhalisia nimeshindwa nmeona bora niombe tu ushauri.wife ni mvivu sana.sana.sikatai ni mrembo kiuhalisia ukiangalia rangi,umbo n.k ipo pia.
Lakini sasa. Ni...
Binafsi condom sizikubali sana na Mood ya game huwa inakata kama demu ataning'ang'aniza nitumie hiyo kitu. Kiufupi me so mtumiaji wa hayo madude, Ni mimi tu ambae sizikubali au wwngine mpo??
Niko bar flani hapa Morogoro mitaa Jirani na chuo cha LITI
Jirani kuna demu hapa anakunywa pombe Kali(K-vant) chupa kubwa tena anajimiminia kama maji
Mkononi ana sigara SM
Mtoto yuko poa...
hai wana jf najiuliza maswali nashindwa kujijibu naomba mnisaidie kuna dada mmaja ambaye alikaa miaka 4 bili kuwa kwenye mahusiano na siyo kwamba hatongozwi bali nikupata mwenzi wa maisha na siyo...
Wanajukwaa hapa kwa sasa nipo kwenye hali TETE sijui naanzia wapi namalizia wapi na sijui la kufanya. Nimetulia oficin nikapokea txt iliyoandikwa hivi "NAOMBA UKAE MBALI NA MKE WANGU KABLA...
Sorry wanaJamii forums kama ntakuwa nimeenda kinyume na utaratibu. naomba kuuliza ivi nihalali wanandoa au wapenzi kunyonyana sehem zao za siri? Kwaanayefahau naomba anijibu kwa mktadha wa kidin
Kama unataka yadumu na kumpendeza Mungu basi msifanye sex!
Kama mnapendana msubiriane hadi muoane ili muwe na sex yenye baraka!
Asanteni sana, na kama sauti haitoshi mseme niongeze.
Inasemekana mwanaume akienda kwa mganga, basi ameenda kwa maswala ya kikazi au biashara zake....kwa kifupi anaenda ili apate pesa...
Lakini inasemekana MWANAMKE akienda ugangani, anaenda ili...
ATAONEKANA ANA WIVU ULIOPITILIZA, ATAPATWA NA HASIRA, ATAKUWAZIA SANAHIII YOTE NI SABABU ANAKUPENDA NA HAYUPO TAYARI KUKUACHA
Watu husema ni ujinga kwa mpenzi wako kuona wivu, LA HASHA!!
Mtu...
1.Kutokua na mawasiliano ya karibu mwenzi wako.
2.Kutokujali maumivu ya mwenzi wako.
3.Ubishi usio na maana.
4.Kutokukubali kosa pindi ukosapo.
5.Kukosa roho ya msamaha.
6.Kutokua muwazi kwa...
Habari za muda huu ndugu,
Sikuwahi kufikiria kutoka nje ya ndoa yangu,lakini baada ya kukaa muda mrefu bila mtoto niliamua kutoka.
Sasa nashindwa kutulia na mke wa ndani japo huyu wa ndani...
Ndugu wananchi wa JF, NIMESUMBULIWA SANA kuanako mahala pangu pa kazi na watajwa hapo juu wa rika zote hasa 15- 60,
Sasa basi kwa faida ya wote ni hivi ukikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi na...
Siku hizi msichana mdogo tu unakuta anabonge la Tumbo,
Tafadharini sana fanyeni mazoezi, punguzeni kula kula vyuku vya kisasa na chipsi mayai,
Mnatupa shida sana sisi mabaharia kwenye...
Na sitaki mwingine, mi nataka yeye tuu...
Tukidumbukia wote kwenye dimbwi la maji na kukaa umbali wa sifuri...
Macho yako yangu, pumzi yako yangu, ulacho nakimeza....
Nitake nini zaidi ya...
Sie Old Timers tunakumbuka enzi za Yahoo na MSN Messengers! Hii ni miaka kadhaa iliyopita kabla ya uwepo wa social media kama Facebook.
Moja ya majukwaa maarufu enzi hizo, huku yakiitwa Windows...
Jana wakati nipo gheto mida ya night mpenz wangu alinipigia simu kwamba anahitaji nikalale kwake .
Kwa kuwa yeye ndie aliyekuwa na huitaji basi nikajikoki mwenyewe mpaka kwake baada ya story za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.