Ungempa ABC kidogo angekushukuru sanaa
Namba yake ya nini sasaEbu naomba namba yake ya simu nikusaidie kumwambia tafadhali...
Wewe kukubwa ni kumwambia MAMA BOJO NAOMBAGA TUTOKAGE INJE TUKASHANGAAGE NGALAWA PALE KWA NANILIU, nadhani hapo unaweza kuendelea na hatua nyingine za kiutekelezaji ikiwa ni pamoja na kukutanisha …………….Wakuu, habarini kuna mrembo mmoja nitokea kuzoeana sana nae, nitumie mbinu gani niweze kumtoa huyu mrembo outing au maneno gani nimwambie ili atambue nataka nimualike lunch
Wakuu, habarini kuna mrembo mmoja nitokea kuzoeana sana nae, nitumie mbinu gani niweze kumtoa huyu mrembo outing au maneno gani nimwambie ili atambue nataka nimualike lunch
Mwambie unataka kutoka naye dinner weekend. Akikubali hio siku mfate kwake au kwao na gari hata kama huna chukua Uber.
Mkifika huko mnunulie vinywaji na chakula alafu husimtongoze kwa week nzima mtoe out tena alafu mtongoze sasa. Ataamua sasa mwenyewe kama yuko single au already taken
And don't forget to thank me.
kwanini mkuuDogo ukifuata huu ushauri umeumia!
Amini nakwambia ukifuata tu alichokiandika huyu miss_blossom lazima uje na bandiko lingine safari hii litakuwa ni la kilio.
Wakuu, habarini kuna mrembo mmoja nitokea kuzoeana sana nae, nitumie mbinu gani niweze kumtoa huyu mrembo outing au maneno gani nimwambie ili atambue nataka nimualike lunch
kwanini mkuu
Kumbe ndiyo mnapendaga hivi.....Mwambie unataka kutoka naye dinner weekend. Akikubali hio siku mfate kwake au kwao na gari hata kama huna chukua Uber.
Mkifika huko mnunulie vinywaji na chakula alafu husimtongoze kwa week nzima mtoe out tena alafu mtongoze sasa. Ataamua sasa mwenyewe kama yuko single au already taken
And don't forget to thank me.
hapana kila siku mh hapana kwa kweliKwamba uwe una mtoa out mwanamke kila siku kwa gharama zako wewe tena ufanye hivyo kwa muda wa wiki nzima. Na kwa huo muda wote usimwambie habari zozote za mapenzi!
Wewe hiyo inakuingia akilini?