Nirahisi sana ila usipokuwa smart ningumu sana.Habarini ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu wamawazo juu ya kumuacha mpenzi mlioshibana nae kisawasawa bila kumletea madhara ama hata yakikuwepo yasiwe makubwa kiasi hicho.
Nawasilisha tafadhali.
Anza kwa kujifany upo bz flan hv..jitie kama umesafr kikaz ama umepata safar y gafla kwenda kijijin kuna ishu unashugulikia, ama jitie kam umezulumiwa mal/pesa zako..Nirahisi sana ila usipokuwa smart ningumu sana.
Kwanza badili ratiba yako kidogo ili ahisi ratiba zako zime change.
Punguza call na msg kutokana na wazo la kwanza.
Tatu tengeneza mazingira msikutane na ikitokea unagusa kishikaji una potea.
Ukiweza hayo mengine yatakuja automatic ila usinimalizie desa langu.
Mapenzi nayo yanaisha kama ugali kwenye sahani.Sasa kama mmeshibana kwanini unataka kumuacha mwenzio?
1:Nenda mbali ukifika huko utakata mawasiliano kwa kisingizio cha kukosa mtandao nk,baada ya miezi miwili atakuwa keshampata mwingine ana atakusahau kabisa,naamini yupo nawewe baada ya kuachana na wengine ambao nao tayari keshawasahau.Habarini ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu wamawazo juu ya kumuacha mpenzi mlioshibana nae kisawasawa bila kumletea madhara ama hata yakikuwepo yasiwe makubwa kiasi hicho.
Nawasilisha tafadhali.