Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Mauaji ya mapenzi yanazidi kushika kasi kila siku, mauaji ya mapenzi yamekuwepo miaka na miaka ila sababu ya teknolojia sasa yanaonekana ni jambo geni kwa sababu ya uharaka wa kusambaa taarifa.
Mauaji mengi wanawake wanaonekana ndio victim wakubwa, takwimu za kesi za mauaji toka jeshi la polisi linaonyesha mikoa ya kanda ya kati na kaskazini naongoza katika kesi zote za mauaji.
Msingi mkuu wa mauaji haya ni wivu wa mapenzi, mmoja kumlaumu mwenzake kumsaliti au kumuacha bila kutegemea.
Niwashauri wanaume wenzangu, ili usije kujikuta kwenye matatizo kama haya ya kujiua au kuua mtu sababu ya mapenzi. Mwakamke mpe hela kadri uwezavyo ila sio moyo. Usije kuthubutu kumpa mwanamke moyo wako.
Sisi wanaume kwenye mapenzi hua hatupendi pendi kama wanawake ambae anaweza kuachwa leo kesho akapenda bila shida, sisi tukipenda hua ni mars moja na kwa dhati, tukiumizwa inaweza kutuchukia miaka tena kupenda au tusipende tena hadi kifo. Upendo wetu ni wa thamani sana, pale tunapoamua kumpenda mtu hua tunajitoa sadaka kwa ajili yake, we dedicate amd sacrifice all for her. Sasa ikitokea tumesalitiwa baada ya kupenda hua tunavurugwa sana na wengine hufikia hatua ya kushindwa kuhimili maumivu ya usaliti hivyo kua na option 2, kujiua au kuua mhusika au kuua mhusika na kujiua kwa pamoja(hizi ndizo option za wanaume wengi walioshindwa kuhimili maumivu ya mapenzi).
Lazima pia tuelewe mwanamke ni mtu anaongozwa zaidi na hisia, anaweza kukupenda leo na kesho asikupende bila sababu tofauti na sisi tukipenda tumemaliza.
Sasa, ili kuepuka hayo, nawashauri wanaume wenzangu, usithubutu kumpa mwanamke moyo wako, mpe hela kadri uwezavyo ila sio moyo, moyo wako ndio maisha yako, mtu akivuruga moyo wako anavuruga maisha yako. Usiuchezee kamari moyo wako.
Huu ni ushauri wa bure tu natoa kwa wanaume wenzangu.
Ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu, mwanamke mpe hela, usimpe moyo wako, utakuja kujuta. - JamiiForums
Mauaji mengi wanawake wanaonekana ndio victim wakubwa, takwimu za kesi za mauaji toka jeshi la polisi linaonyesha mikoa ya kanda ya kati na kaskazini naongoza katika kesi zote za mauaji.
Msingi mkuu wa mauaji haya ni wivu wa mapenzi, mmoja kumlaumu mwenzake kumsaliti au kumuacha bila kutegemea.
Niwashauri wanaume wenzangu, ili usije kujikuta kwenye matatizo kama haya ya kujiua au kuua mtu sababu ya mapenzi. Mwakamke mpe hela kadri uwezavyo ila sio moyo. Usije kuthubutu kumpa mwanamke moyo wako.
Sisi wanaume kwenye mapenzi hua hatupendi pendi kama wanawake ambae anaweza kuachwa leo kesho akapenda bila shida, sisi tukipenda hua ni mars moja na kwa dhati, tukiumizwa inaweza kutuchukia miaka tena kupenda au tusipende tena hadi kifo. Upendo wetu ni wa thamani sana, pale tunapoamua kumpenda mtu hua tunajitoa sadaka kwa ajili yake, we dedicate amd sacrifice all for her. Sasa ikitokea tumesalitiwa baada ya kupenda hua tunavurugwa sana na wengine hufikia hatua ya kushindwa kuhimili maumivu ya usaliti hivyo kua na option 2, kujiua au kuua mhusika au kuua mhusika na kujiua kwa pamoja(hizi ndizo option za wanaume wengi walioshindwa kuhimili maumivu ya mapenzi).
Lazima pia tuelewe mwanamke ni mtu anaongozwa zaidi na hisia, anaweza kukupenda leo na kesho asikupende bila sababu tofauti na sisi tukipenda tumemaliza.
Sasa, ili kuepuka hayo, nawashauri wanaume wenzangu, usithubutu kumpa mwanamke moyo wako, mpe hela kadri uwezavyo ila sio moyo, moyo wako ndio maisha yako, mtu akivuruga moyo wako anavuruga maisha yako. Usiuchezee kamari moyo wako.
Huu ni ushauri wa bure tu natoa kwa wanaume wenzangu.
Ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu, mwanamke mpe hela, usimpe moyo wako, utakuja kujuta. - JamiiForums
Ushauri wa bure kwa wanaume wenzangu, mwanamke mpe hela, usimpe moyo wako, utakuja kujuta.
Huu ni ushauri tu wa bure kwa wanaume wenzangu. Najisikia vibaya na kuumia sana pale naposikia mwanaume mwenzangu amekufa eitha kwa kujiua au kuua mtu kisa mapenzi. Wanaume chukueni hili toka kwa watu wenye busara, mwanamke usimpe moyo wako, mpe hela zako kadri uwezavyo ila usije kumpa moyo...
www.jamiiforums.com