Namna ya kumuomba mwanamke mtoke out

Namna ya kumuomba mwanamke mtoke out

CUBICBOY

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
322
Reaction score
258
Wakuu, habarini kuna mrembo mmoja nitokea kuzoeana sana nae, nitumie mbinu gani niweze kumtoa huyu mrembo outing au maneno gani nimwambie ili atambue natakako nimualike lunch ,matusi hawaruhusiwi tafadhali
 
Utoto raha sana ukikua utaelea



[/URL]

Kwanini Asilimia kubwa wanawake ninaowapata usiku ni malaya


[/URL]

Wanawake wanaopatikana kwa njia ya pesa wengi hawana mapenzi ya dhati


[/URL]

Ni mara ya tatu sasa inashindikana


[/URL]

Natamani kuwa karibu sana na huyu dada lakini nashindwa
 
Yaani we nae unaonekana ni mzembe!
Kitu hicho kabisa unataka ukoo mzima wa JF tujadili?!!
Unashindwa nini kumualika lunch kikawaida tu (friendly)
Acheni kucomplicate mambo.
Sijawahi ndo maana nataka maujuzi mamito
 
Utoto raha sana ukikua utaelea



[/URL]

Kwanini Asilimia kubwa wanawake ninaowapata usiku ni malaya


[/URL]

Wanawake wanaopatikana kwa njia ya pesa wengi hawana mapenzi ya dhati


[/URL]

Ni mara ya tatu sasa inashindikana


[/URL]

Natamani kuwa karibu sana na huyu dada lakini nashindwa
Wachimbua makaburi katika ubora,
 
Sasa mme zoeana nae ila kumwambia tutoke out ndo ume shindwa
 
Back
Top Bottom