QUALITIES OF AN IDEAL HUSBAND
Many women spend their lives looking for a good husband, even parents won't sleep peaceful until they feel that their daughter is with a good man.
BE PLEASANT
No...
Habari za mda huu wana jf
Ipoo hivi kuna mdada mmoja hvi ni mzuri kinoma yaani mzuri haswa bwana churaa ndo usipimee.
Kidume nikajitoa ufahamu nikamfuta manzi kumuongelesha tuu kujibu tabu...
Kuna kipindi fulani nilisitisha maswala ya mapenzi kwa muda mrefu tu ili kupisha baadhi ya maswala yangu yaende sawia kama ninavyotaka.
Pia ilitokana na ushauri niliopewa na daktari wangu.
Kwa...
Hi JF.
Kuna jirani muda huu ngumi zinarindima nasikilizia dirishani jamaa alinyata kwenye chumba cha beki tatu.Bint kapiga kelele kimenuka[emoji2] [emoji41]
Mama mwenye nyumba kawaka hapalaliki...
Hello JF,
Ebana kuna jamaa angu kaja kuniomba ushauri,ana mpenzi wake ambae alitaka amuoe mwishoni mwa mwaka huu,huyu binti kamaliza chuo ifm juzi juzi tu hapa,Sasa jamaa anashangaa jana binti...
EVERY WOMAN SHOULD READ THIS.
1. Don't be in a hurry to move out
of your parents house.
It's easy to move out but very hard to come back if things goes wrong. Always be sure before leaving.
2...
Habari za kazi wakuu,
kwanza napenda kutoa uzi huu nikiwa na majonzi makubwa kweli, kwani mahusiano yangu yamevunjika kizembe sana japo kuna wakati najipa moyo kuwa ni ujasiri... Mpenzi wangu...
Wakuu kabla yayote niwasalimu kwanza, Habari zenu?
Baada yakusaliti vyama vyangu(CHAPUTA na CHAMATA) na kwa ushauri wenu wana JF, nimefaanikiwa kumrowa mtoto mkali na mpaka sasa tuna miezi miwili...
Wakuu hapa nilipo nina miaka 29.
kwa bahati mbaya bado nakaa kwa wazazi lakini ninajitegemea kwa mambo mengi isipokuwa malazi tu.
Nilikuwa nimepanga naishi mwenyewe lakini niliingiliwa na wezi...
Habari za Saa hizi wakuu? ifuatayo ni orodha ya tabia mbaya wanazozifanya wapendanao;-
1/Kuzungumzia udhaifu wa mpenzi wako kwa watu wengine ni Tabia mbaya...
2/Kushindwa kumaliza tofauti zenu...
Watu wa humu hamjui umuhimu wangu hasa hapa mmu mpka siku nikifa ndio mtaanza kujua halafu mtakuwa m mechelewa kwa sababu nitakuwa nimeshakufa. Halafu muanze kuandika rip zenu za unafiki...
Nawasalimu ndugu zangu,jamaa zangu,rafiki zangu washirika wenzangu na hata adui zangu kama wapo, najivunia kuwa mwana Jf kwa maana yakuniondoa kwenye upweke na kuniunganisha na jamii, kunipatia...
Jaman sijui ni wivu wangu tu au sielewi
Iko hivi ninaishi na mme wangu ni muda Sasa....
Ijumaa last week nilisafir kuja nyumban kwetu mama anaumwa ambapo ni mkoa mwingine na ninapoishi na mme...
Habari wana JamiiForums
Ni ukweli usiopingika kuwa toka nijiunge na jamii forum nimekuwa siyo mchangiaji mkubwa sana kwenye masuala mazima yanayohusu mahusiano hasa kwenye upande wetu wa akina...
Nimfanye nini mke wangu huyu?
Naombeni ushauri kwani nimegunduamke wangu amepata mchepuko kiasi kwamba ameanza kuwa na katabia ka udanganyifu.
Nimemchunguza sana ktk cmu yke nikakuta msg...
Sasa ipo ivi kipindi naanza chuo nilikutana na mdada mmoja tunasoma course moja tukazoeana lecture tukawa tunakaa wote namsainia na kumfanyia assignment asipokuwepo kiukweli ule ukaribu ulinifanya...
Unagundua dada yako (kwa mama/baba mdogo/mkubwa) anataka umpige nao,unajikausha tu kwa muda mrefu sana ili kulinda heshima yenu na ya wazazi wenu,Siku ya siku mkeo naye anagundua hicho...
Hello guys,
Baada ya kupitia rejetions za kutosha, sasa nimebuni mbinu murua za ku-notice na kuepuka vibuti kabla havijanifikia, hizi njia huwa zina-save my time, money, and energy, pia hii mbinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.