Mambo 15 yanayiweza vunja mahusiano yako

Mambo 15 yanayiweza vunja mahusiano yako

Chrix_Tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
880
Reaction score
1,101
1.Kutokua na mawasiliano ya karibu mwenzi wako.

2.Kutokujali maumivu ya mwenzi wako.

3.Ubishi usio na maana.

4.Kutokukubali kosa pindi ukosapo.

5.Kukosa roho ya msamaha.

6.Kutokua muwazi kwa mwenzio.

7.Usaliti wa mapenzi.

8.Kutokutambua uthamani wa mpenzi wako katika maisha yako.

9.Kutokua na kifua cha kuficha mambo ya nyumbani/chumbani.

10.Ugomvi usio na kikomo.

11.Kutoa ahadi za uongo.

12.Kukosa ubunifu ktk mapenzi.

13.Kuwa na wivu wa kijinga.

14.Kutokua na shukrani.

15.Ubize muda wote hadi saa ya kitanda.


NImeandika haya ili umpende mkeo/mmeo kumbuka maandiko yanazuia kuachana,na Mungu mnapoachana anachukia sana

Malaki 2:14-16
 
Fafanua mkuu inavunjaje mahusiano pesa..... Otherwise ukiangalia vizuri hizo sababu utakuta inaingia pia ila haijatajwa directly km hapo kwenye ahadi ya uongo.... Ukiichambua vema utaona pesa inahusika pia kwa namna moja ama nyingine
Mbona hujaweka PESA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom