Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Na. Robert Heriel. Wanawake wanapenda uhuru sana lakini hawajui athari za uhuru. Tumeshuhudia katika zama hizi za Utandawazi wakidai haki mbalimbali ikiwemo haki ya maamuzi katika mitindo yao ya...
17 Reactions
73 Replies
8K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] _*Swaga za wanawake*_ 1. Ndio nakuja ila ujue sikai sana 2. Nishukie wapi? 3. Saizi saa ngapi nataka kuondoka 4. Ubaya wako...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi ni nani aliyewakaririsha wanawake kwamba lazima walale upande wa ukutani? Haka katabia hata kwaupande wangu kananitokea pindi niwapo kitandani basi lazima mwanamke atapenda kulala ukutani...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu salaam Husika na kichwa cha habari hapo juu, pasi na kutoa kisa kirefu naomba mnisaidie kwa kujibu swali hili: Kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine, na huyo mwanaume...
2 Reactions
199 Replies
19K Views
Habari za mwisho wa wiki waungwana, Hiki kisa ninachokisimulia hapa naona kama kinataka kujirudia na tukio lililotukia nikiwa mwanamke wa makamo I was in my last 30s year.... Ni miaka 10...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Wala nisiwachoshe.ilikuwa mwaka 2009 katika mizunguo yangu ya kikazi nikawa nasafiri na private car kwenda mwanza. So nikapita Dodoma maana kuna msichana nlikuwa namdate kila nikipita ile barabara...
22 Reactions
41 Replies
9K Views
*MUHIMU*``` [emoji654]Kuna siku marafiki tutatengana[emoji174] hatutaonana tena wala kuwasiliana.[emoji181] [emoji654]Wengine umri utakuwa umeenda[emoji803] sana wamekuwa wazee na wengine...
23 Reactions
60 Replies
6K Views
Nigani asee machalii,Ma'dingilii na ma'manzi wa humu fas ya MMU!!Mko yente eeh.!?....Direct to e'point,aisee me nawaambiaje.!Kuna baadhi ya ma'manzi hawatatimba ndichi duas ya Mbinguni kwa Sir God...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Kuna dada mmoja mzuri sana shombeshombe tunakaa nae mtaa mmoja. Ameamia hivi karibuni, anaishi mwenyewe. Nimetokea sana kuvutiwa nae, angalau niwe karibu nae, tuwe tunabadilisha...
2 Reactions
78 Replies
7K Views
awali ya yote naomba mlio karibu na "gavana" mfikishieni ujumbe kuwa hiyo kanzidata(database) yake anayofiikiria kuijenga ambayo itatumika kuhifadhi taarifa za wanandoa haitakuja kusaidia kitu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea. Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia...
5 Reactions
64 Replies
7K Views
Nilishamwambia mapema haya mambo yanataka moyo wa chuma, ukiwa na moyo laini wa kike hayafai kabisa. Siku 7 tu na mwili umenywea. Hizi ni meseji ambazo zimemfanya jamaa mpaka leo asirudi kwa...
29 Reactions
417 Replies
39K Views
Wadau kama kichwa kinavojieleza msaada tutani twafwadhali nifanyeje kuepukana na dhahama hii.
0 Reactions
28 Replies
4K Views
*BARUA* Kwako *Alumni wa Bwiru boys* Salaams nyingi zikufikie popote ulipo zenye rehema na upendo juu yako. Natumai umzima wa afya na unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku za...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu zangu habari zenu, niko singida lakini natafuta soko la kuku mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, ikiwa uko na mtu ana uhitaji au wewe mwenyewe please DM me. Nitakuletea hadi mlangoni kwa idadi...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za jioni wana MMU. .. Moja Kwa Moja ngoja niende kwenye mada aisee... Ama kweli jamani dunia hadaa Ulimwengu shujaa.... Aiseeee lazima upitie foolish stage then akili ikomae ndio ujue...
12 Reactions
95 Replies
13K Views
Wakuu, habarini kuna mrembo mmoja nitokea kuzoeana sana nae, nitumie mbinu gani niweze kumtoa huyu mrembo outing au maneno gani nimwambie ili atambue natakako nimualike lunch ,matusi hawaruhusiwi...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Wakuu ,naleta Uzi huu kwawadada wadada wa chuo ,wanaringa sana ,wanazingua sana ,wengi wapo kimaslahi zaidi Mwaka jana rafiki yangu amelizwa na demu wa chuo hivi hivi,wadada wa chuo ringeni sana...
2 Reactions
53 Replies
12K Views
Mke asipotoa (tendo), tayari kunakuwa na hisia, anatoka nje ya ndoa. Vivyo hivo kwa mume asipotoa. Je huu ndio muhimili pekee wa kudumisha ndoa? Je pasipo tendo hamna ndoa?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom