29una umri gani?
Miaka 29 au nimechelewauna umri gani?
Kwahiyo age jifunze combat tu, ushauri tuMiaka 29 au nimechelewa
Anhaaa sawa mkuu. Chamsingi nataka tu self defenceKwahiyo age jifunze combat tu, ushauri tu
Ushazeeka tayarMiaka 29 au nimechelewa
Ha ha haUshazeeka tayar
Du. Ninini hii mkuuUshauri wangu, kwa maisha ya sasa ni bora utafute mwalimu mzuri wa Krav maga
Hiyo ndio habari ya mjini. Ni aina ya mchezo tu kama karate sema ni nzuri zaidi kwa self defence.Du. Ninini hii mkuu
Ukipata mwalim mzuri wa hii kitu utaenjoy maisha, no threat will look like threat anymoreDu. Ninini hii mkuu
Sanaaa ipo njema aiseeUkipata mwalim mzuri wa hii kitu utaenjoy maisha, no threat will look like threat anymore
hhhhhhhhhhhhUlimwengu wa sasa hauitaji hayo manguvu,labda kama unataka kuwa mlinzi.