Wadada wanavyotulia ela zetu

Wadada wanavyotulia ela zetu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,357
Reaction score
62,604
Siku moja nilikuwa safari katika mji fulani, nikafikia kwenye hoteli moja Y.Baada ya kulipia chumba nikaona bora kwanza nioge ili kupunguza uchovu;nilipotazama kwenye meza pale chumbani nikakuta kuna kipeperushi/business card ya kampuni fulani wakijitangaza kutoa huduma ya massage popote pale ulipo.

Kutokana na uchovu wa safari,nikawapigia simu...akapokea dada mmoja mwenye sauti laini,nikajikuta namwambia nahitaji huduma yao;na nikamwelekeza sehemu nilipo...na baada ya dakika 15 akawa amefika.Baada ya nusu saa akawa amemaliza kazi yake,akanichaji Sh. 65,000/=,baada ya yeye kuondoka nikajiuliza mbona kama ela yangu imepotea bure.

Ndipo nikagundua wanaume wengi tunapoteza fedha kwa vitu vya ajabu ajabu
 
Ulishindwa kujiongeza mkuu. Hapo hukilipia massage tuu. Kuna offer nyingine hapo.....
ha ha ha ha ilikuwa ni full body tu mkuu,huduma nyingine sikupata
 
Siku moja nilikuwa safari katika mji fulani, nikafikia kwenye hoteli moja Y.Baada ya kulipia chumba nikaona bora kwanza nioge ili kupunguza uchovu;nilipotazama kwenye meza pale chumbani nikakuta kuna kipeperushi/business card ya kampuni fulani wakijitangaza kutoa huduma ya massage popote pale ulipo.Kutokana na uchovu wa safari,nikawapigia simu...akapokea dada mmoja mwenye sauti laini,nikajikuta namwambia nahitaji huduma yao;na nikamwelekeza sehemu nilipo...na baada ya dakika 15 akawa amefika.Baada ya nusu saa akawa amemaliza kazi yake,akanichaji Sh. 65,000/=,baada ya yeye kuondoka nikajiuliza mbona kama ela yangu imepotea bure.Ndipo nikagundua wanaume wengi tunapoteza fedha kwa vitu vya ajabu ajabu
Inamaana hukuulizia huduma nyingine tofauti na massage!?
 
Yani hukunegotiate... Wewe uliita tu!

Kha!

Hawa viumbe huwa tunakubaliana nao kwanza lasivyo unaweza kujikuta umetoa milioni moja kwa ajili ya peck on the cheek
 
Yani hukunegotiate... Wewe uliita tu!

Kha!

Hawa viumbe huwa tunakubaliana nao kwanza lasivyo unaweza kujikuta umetoa milioni moja kwa ajili ya peck on the cheek
ha ha ha ha ni kweli mkuu
 
Kwenye kipeperushi hawakuainisha huduma zingine mkuu;mi niliishia kumuuliza faida na madhara ya hilo zoezi tu
Ungejiongeza tu boss.
Ona sasa atakuwa ameenda anajilaumu.
Amekuona mteja mlokole kabisa.
 
Back
Top Bottom