Tarehe ya kuzaliwa
Member
- Sep 5, 2019
- 89
- 73
Habari za asubuhi.
Nimekaa zangu hapa nimejinywea chai yangu na mihogo /malala chini/ mato.....mba aridhi.
Basi baada ya kushiba ipasavyo, kuna kawazo kakanijia hapa kichwani mwangu nikajiuliza " MBONA SIKU HIZI USALITI UMEKITHIRI SANA NDOANI?"
nikawazaaaaaa
Nikakosa jibu.
Nilichoamua kufanya Ni nikuchukua simu yangu na kufungua app ya JF, uyoooo moja kwa moja kwenye jukwaa la MAPENZI, uyoooo nkaanza kuchapa haka ka Uzi.
TATIZO NININI HASA??
Nimekaa zangu hapa nimejinywea chai yangu na mihogo /malala chini/ mato.....mba aridhi.
Basi baada ya kushiba ipasavyo, kuna kawazo kakanijia hapa kichwani mwangu nikajiuliza " MBONA SIKU HIZI USALITI UMEKITHIRI SANA NDOANI?"
nikawazaaaaaa
Nikakosa jibu.
Nilichoamua kufanya Ni nikuchukua simu yangu na kufungua app ya JF, uyoooo moja kwa moja kwenye jukwaa la MAPENZI, uyoooo nkaanza kuchapa haka ka Uzi.
TATIZO NININI HASA??