Sarakasi zile za kabla ya ndoa ziko wapi?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,269
40,069
Nawauliza nyie wadada...kwa nini mnapokuwa kwenye mahusiano kabla ya kuolewa huwa mnatoa ushirikiano mzuri,sarakasi za kila namna mpaka mwanaume anashawishika kukuweka ndani.Lakini baada ya kuishi kwenye ndoa zile sarakasi na kachumbari za hapa na pale zinakuwa hazipo.Ni kwa nini mnafanya hivyo? Au kwa sababu ulichokuwa ukikihitaji unakuwa umeshafanikisha?
 
Nawauliza nyie wadada...kwa nini mnapokuwa kwenye mahusiano kabla ya kuolewa huwa mnatoa ushirikiano mzuri,sarakasi za kila namna mpaka mwanaume anashawishika kukuweka ndani.Lakini baada ya kuishi kwenye ndoa zile sarakasi na kachumbari za hapa na pale zinakuwa hazipo.Ni kwa nini mnafanya hivyo? Au kwa sababu ulichokuwa ukikihitaji unakuwa umeshafanikisha?

Hizo sarakasi si za wanandoa. Wanaziamisha nje kwa michepuko
 
Nasikia wakiwa ndoani hivyo vitu wanapeleka kwa michepuko...na kutoa hata wrong hole
sasa sijui wanataka kuolewa na uko au lengo ni nini!
labda na sisi tukiwa ndani huwa tunajifanya wastaarabu sana...na kusahau kuwa yale mambo hayaitaji ustaarabu.
 
Narudi home.

Nakuta mtoto analia, ni saa sita usiku.

Aaniambia mtoto kaanza kulia tangu saa mbili. Nauliza kaka yake anaendeleaje? Anajibu kaka kalala tangu muda, nauliza kama kala anajibu hata kula hawezi akikaa tu mtoto analia.

Nampokea mtoto ili ale, kisha ananipokea mtoto nakula. Mtoto analala saa tisa, saa 12 mama mtu anatakiwa awe macho aandae breakfast afue nguo za watoto hayo yote ayafanye kabla mtoto hajaamka.
Same routine daily

Hivi hamu ya hizo sarakasi inatoka wapi?
 
Nawauliza nyie wadada...kwa nini mnapokuwa kwenye mahusiano kabla ya kuolewa huwa mnatoa ushirikiano mzuri,sarakasi za kila namna mpaka mwanaume anashawishika kukuweka ndani.Lakini baada ya kuishi kwenye ndoa zile sarakasi na kachumbari za hapa na pale zinakuwa hazipo.Ni kwa nini mnafanya hivyo? Au kwa sababu ulichokuwa ukikihitaji unakuwa umeshafanikisha?
Nasikia wakiwa ndoani hivyo vitu wanapeleka kwa michepuko...na kutoa hata wrong hole
sasa sijui wanataka kuolewa na uko au lengo ni nini!
Hatari saana aisee
1564082828835.jpeg
 
Narudi home.

Nakuta mtoto analia, ni saa sita usiku.

Aaniambia mtoto kaanza kulia tangu saa mbili. Nauliza kaka yake anaendeleaje? Anajibu kaka kalala tangu muda, nauliza kama kala anajibu hata kula hawezi akikaa tu mtoto analia.

Nampokea mtoto ili ale, kisha ananipokea mtoto nakula. Mtoto analala saa tisa, saa 12 mama mtu anatakiwa awe macho aandae breakfast afue nguo za watoto hayo yote ayafanye kabla mtoto hajaamka.
Same routine daily

Hivi hamu ya hizo sarakasi inatoka wapi?
Kwa mazingira hayo hakuna shaka mkuu,kwa kipindi hicho wewe huwa unafanyaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom