Habari za Siku nyingi hapa Jf
Nimepotea kwa muda mrefu kiasi kwa sababu ya majukumu na kakala za maisha ya hapa jijini, lakini kwa muda wote huo takribani miezi 8 mpaka 10 nimefanikiwa kutoka na wanawake wengi wa aina tofauti tofauti kama vile wake za watu, wanafunzi wa vyuo, mabamedi, fresh from school wanaotafuta mabwana na single mother pia sikuwasahau
Kubwa lililonifanya niandike ushauri huu kwa wanaume wenzangu ni hawa wanawake walioolewa
Hawa wanawake na ndoa zao wamejikuta na changamoto nyingi sana mpaka kufikia namna ya wao kuchepuka ili kuweza kukidhi haja za miili yao kingono
Kiukweli wanawake walioolewa na wanaoishi na wanaume zao wanahitaji sana sex kila Siku, ukiwaacha tu Siku chache free bila mkuyenge watatafuta wa kuwakuna tu huko nje
Hivyo ewe mwanaume inatakiwa uhakikishe kila Siku iendayo kwa Mungu, kama mwanamke wako ni mzima wa afya na hana matatizo yao ya period na Kubread ni vema upige bao hata moja kabla ya kulala ili kumlinda asiwe na tamaa za kuchepuka
Wanawake za watu wa3 niliofanikiwa kuwala wrote wananiambia mabwana zao wavivu mno, hawawakuni kila Siku na vya kutosha ndio maana wanachepuka
Nimepotea kwa muda mrefu kiasi kwa sababu ya majukumu na kakala za maisha ya hapa jijini, lakini kwa muda wote huo takribani miezi 8 mpaka 10 nimefanikiwa kutoka na wanawake wengi wa aina tofauti tofauti kama vile wake za watu, wanafunzi wa vyuo, mabamedi, fresh from school wanaotafuta mabwana na single mother pia sikuwasahau
Kubwa lililonifanya niandike ushauri huu kwa wanaume wenzangu ni hawa wanawake walioolewa
Hawa wanawake na ndoa zao wamejikuta na changamoto nyingi sana mpaka kufikia namna ya wao kuchepuka ili kuweza kukidhi haja za miili yao kingono
Kiukweli wanawake walioolewa na wanaoishi na wanaume zao wanahitaji sana sex kila Siku, ukiwaacha tu Siku chache free bila mkuyenge watatafuta wa kuwakuna tu huko nje
Hivyo ewe mwanaume inatakiwa uhakikishe kila Siku iendayo kwa Mungu, kama mwanamke wako ni mzima wa afya na hana matatizo yao ya period na Kubread ni vema upige bao hata moja kabla ya kulala ili kumlinda asiwe na tamaa za kuchepuka
Wanawake za watu wa3 niliofanikiwa kuwala wrote wananiambia mabwana zao wavivu mno, hawawakuni kila Siku na vya kutosha ndio maana wanachepuka