Nimempa Mimba binti wa kiarabu

Nimempa Mimba binti wa kiarabu

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,511
Wakuu habr zenu,
Hizi siku nmekuwa adimu sana hasa mambo ya kimaisha sio oficin sio wapi full stress. Since j3 nimepokea taarifa kutoka kwa bint kuwa ni anamimba yangu nikachukulia simple nikaendelea na mambo yangu. Jana ikabid niende nae tukachek ultrasound baada ya kuona she was serious nikajua kwel ipo ya 3 weeks. Hyu bint tumefahamiana mwez sasa na tumekwich mara3 toka tuanze mahusiano.

Me nimemshauri azae but anasema hawez kabsa home hawatamwelewa tena kuzaa na mbongo na pia baba ake ni Katili sana, pili anasoma ana 20yrs kasoro. Ubaya sasa dogo kaanza dalili so kutapika kichefu chefu yani ndo anasumbua balaa analia sana mpaka huruma.

Sina jins inabd atoe tu, miso siziamin sana coz now hazieleweki hazilet matokeo weng zinazingua coz naona hata kwa wana. Naplan nimpeleke hosp tu. Nyie mnaushaurije wakuu....Maon yenu mhm pia nikomae azae?
 
Wakuu habr zenu,
Hizi siku nmekuwa adimu sana hasa mambo ya kimaisha sio oficin sio wapi full stress. Since j3 nimepokea taarifa kutoka kwa bint kuwa ni anamimba yangu nikachukulia simple nikaendelea na mambo yangu. Jana ikabid niende nae tukachek ultrasound baada ya kuona she was serious nikajua kwel ipo ya 3 weeks. Hyu bint tumefahamiana mwez sasa na tumekwich mara3 toka tuanze mahusiano.

Me nimemshauri azae but anasema hawez kabsa home hawatamwelewa tena kuzaa na mbongo na pia baba ake ni Katili sana, pili anasoma ana 20yrs kasoro. Ubaya sasa dogo kaanza dalili so kutapika kichefu chefu yani ndo anasumbua balaa analia sana mpaka huruma.

Sina jins inabd atoe tu, miso siziamin sana coz now hazieleweki hazilet matokeo weng zinazingua coz naona hata kwa wana. Naplan nimpeleke hosp tu. Nyie mnaushaurije wakuu....Maon yenu mhm pia nikomae azae?
Maoni huku mmeshaamua kutoa ?!
 
Mwambie aagize mirinda nyeusi anywe..akimaliza alale
 
Hili hulioni sasa kwa kuogopa
Lakini utajuta maishani mwako kwa kuuwa kwa kukusudia
Acha nature ifuate njia zake na ajifungue
Bora hata umshawishi mtoroke mkaanze maisha sehemu nyingine kuliko kuuwa
 
Uongo mkubwa

Wiki 3 ukapime Ultra S
 
Sina cha kukushauri zaid ya kusema ASITOE.
huu ndio ushauri wangu siku zote ambao niliushilia sana toka siku moja hiv 2010 nikiwa mwanafunz pale ifm.Girlfriend wangu alipo conceive mshkaji wangu wa kwanza kumshirikisha hii ishu aksema "AssajizleDatGreat" usijaribu kumtoa mimba mtoto wa watu.it was a pwerful advice to me n thanks God my kid is 8 yrs now.

Mzee usitoe.....
 
Back
Top Bottom