Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Wakuu ile kukuru kakala na mtoto wa diwani atimae siku ndio imefika,
Baada ya kusota sana central na kulazimishwa kumuoa atimae kesho ndio siku yenyewe,
Kesho ndio siku iliyopangwa nikatoe mahali,
Posa tayari nilitoa 50k kwenye bahasha na tulipangiwa siku ya kwenda na mahali ambayo ni 1.5 milioni,
Mpaka leo hii ninayozungumzia pesa niliyonayo ambayo haina kazi na ndio ninayoweza kuitumia kwenye mahali ni 200k(laki mbili Cash),
Na siku ni kesho Nasubiria ikifika niende nayo nikamkope mtoto wao na hiyo nitoe kama advance tu sijui kama watanielewa,
Cc Zero IQ
Baada ya kusota sana central na kulazimishwa kumuoa atimae kesho ndio siku yenyewe,
Kesho ndio siku iliyopangwa nikatoe mahali,
Posa tayari nilitoa 50k kwenye bahasha na tulipangiwa siku ya kwenda na mahali ambayo ni 1.5 milioni,
Mpaka leo hii ninayozungumzia pesa niliyonayo ambayo haina kazi na ndio ninayoweza kuitumia kwenye mahali ni 200k(laki mbili Cash),
Na siku ni kesho Nasubiria ikifika niende nayo nikamkope mtoto wao na hiyo nitoe kama advance tu sijui kama watanielewa,
Cc Zero IQ