Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kama heading inavyoeleza hapo juu Sifa zangu Kijana wa kiume 27yrs Mrefu Nimeajiriwa Christian Muaminifu Upendo wa kweli Sifa za ninaye muhitaji Msichana Umri 20-26yrs Awe anashughuli ya kufanya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hapa ninapoishi nyumba yakupanga,tupo wapangaji watano mmoja dem ajaolewa mwenyeji wa kondoa mrangi amenishangaza, kunamambo anayafanya kila asubuhi ya alfajir anaenda njia panda karibia na...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Wakuu habarini za mchana, Kama kichwa cha habari kisemavyo,nipo katika mahusiano na binti mmoja karibia miaka miwili sasa. Kwa kweli huyu binti nilimpenda sana mwanzoni kipindi penzi lipo...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna mwanamke nilisoma nae Chuo alinipenda sana kwa kuwa life Chuo lilikua sio zuri nikampotezea sikutaka demu kipindi hicho, sasa Niko mkoa mwingine mbali nae ila kila upuuzi wangu anausapoti...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Huu uzi ni special kwa sie tusie penda kuanzisha thread kwa sababu ya matukio madogo madodo Lengo la kushare matukio haya ni kuweza kuwasaidia wengine siku akikutana na tukio la aina yeyote aweze...
0 Reactions
2 Replies
969 Views
Habari, Mimi ni mdada wa miaka 25, Nimeolewa Disemba mwaka jana.Yamenikuta mimi ninampenda sana mume wangu (lakini mmmh). Kwa ufupi mimi nimezaliwa peke yangu kwa baba na mama but baba alifariki...
23 Reactions
698 Replies
116K Views
Wakuu umuofia kwenu, Nianze kwa kukiri kuwa hii ni mojawapo ya mada ngumu kabisa kuijadili mbele ya kizazi cha leo, yaani kizazi kipya. Najua si kila mtu ataipokea kwa mtazamo wa kupingana kwa...
18 Reactions
139 Replies
13K Views
If a man must have a good job or business , car and a house before marriage. What must a woman have before marriage? Kama mwanaume anatakiwa kuwa na kazi nzuri ama biashara, gari na nyumba kabla...
8 Reactions
55 Replies
4K Views
Habari wana JF. Mimi mzima hofu kwenu. Ni miaka kama miwili imepita tokea tupotezane na msichana ambaye nilikuwa nikimpenda sana, kipindi nipo form 4 yeye alikuwa form 3 which means mwaka 2017...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wengi wanakimbilia ndoa,wakiamini watakuwa wanafanya tendo masaa 24 kwa siku...tatizo linajitokeza pale mhusika anapoamua kuwa halisia na kutaka kufanya tendo pale atakapojisikia yeye na si wewe...
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Nawasalimu wana JF wote. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kuwaasa wanafunzi hasa wa vyuoni wanapokuwa vyumbani kwao wawe makini. Wanachuo walio wengi aidha wawe hosteli za chuoni au za...
26 Reactions
144 Replies
16K Views
Kamahuelewinisubiriubungonakuja A GOOD WOMAN, MAKES A GOOD WIFE AND A GOOD WIFE BECOMES A GOOD MOTHER. A GOOD MOTHER GIVES BIRTH TO A GOOD CHILD. IF YOU WANT TO BE A GOOD WOMAN, WIFE AND MOTHER...
2 Reactions
7 Replies
940 Views
Serikali ya Tanzania imeanza rasmi kuwasaka Kimya Kimya Madaktari wote wenye Umaarufu wa Kuwatoa Mimba Watoto wa Kike ambao ni Wanafunzi wa Shule za Msingi ( Primary ) na za Upili ( Secondary )...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawasalimu members wenzangu Ndugu zangu nilikuwa tuna jirani yetu mmoja alikuwa ana uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja anayeitwa Rehema. Huyu jirani yetu alikuwa ni mpole, mstaarabu pia ni...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ukiwa na akili huhitaji kuchunguza uwezo wa mwanamke na mwanamme upi ni bora na imara. Akili za wanawake ambazo kila wakikuwa ndio zinapungua uelewa na kujiamini. Hawawezi kuwa na maamuzi sahihi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
ɐʞɐʇıʞoɥɔı|n ə|ıʞ ɐʇɐdɐʞn ıʋıʞɐ| nɓʋnznɓʋnzıʞ ısıɥnʞ ɐzəʍɐʋn .oʎʌıɥ odɐʎ ɐʍnɥ ɐıd ɐɥsıɐɯ ɐʋ ɐʍnʞ ɐʍə|ə ısɐq ɐʍʞıρʋɐoɥɔı|ıʞ əʍə|ən ı|ı oʞɐʎ oɓʋıɥs nɐ nɯıs ɐznəɓınʞ ɐʍıʞıʋɐɟı|n ɐɯɐʞ ,nʇ ɐəozɐɯ ɐʍʞ...
11 Reactions
51 Replies
4K Views
Kama kuna kitu kinahakikiwa kwa umakini na kwa kurudiwa basi ni hiki kitu pesa.... Unaweza kumpunja mtu kwenye kitu chochote lakini sio pesa... Mpunje kwenye kipimo cha nafaka, ukamzidishia...
31 Reactions
68 Replies
8K Views
Kila mtu anaekuja umu anaitaji mara mke above 28yrz. mara mme above 35yrz sasa apa leo nataka nikutane na watoto wa kike 20-23yrz. milango iko wazi mimi ni single boy. ata wakijitokeza wengi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…