Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Wakati yeye akipambana apate japo Abaya ya sikukuu ya Idi kutoka kwangu yeye analeta zawadi iliyopitwa na wakati ya soksi pea mbili za buku buku nimefadhaika na kuhuzunika sana ni bora asingeleta.
12 Reactions
46 Replies
521 Views
Wewe jimwambafai tu kuwa unawaweza wanawake,ipo siku yako inakuja ukimkorofisha akuachie hako katoto hata ka miaka miwili tu nyumbani yeye aende kwao, utatamani ukapige magoti kwa wakwe zako arudi...
5 Reactions
16 Replies
199 Views
Marriage license ==== Fahamu Zaidi Tafiti: Waliopo kwenye ndoa, huishi maisha marefu zaidi tofauti na waliopo 'singo'!
8 Reactions
85 Replies
428 Views
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi. Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume. Polygamy ni...
8 Reactions
13 Replies
720 Views
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
54 Reactions
212 Replies
3K Views
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako. Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio...
12 Reactions
259 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake. Jamani...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life. Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala...
22 Reactions
176 Replies
2K Views
1. At the age of 14, they look very sweet, fresh and beautiful 2. At 16, they probably have their first s*x, they stick to one guy and talk about how they won't leave him. 3. At 18, they are in...
11 Reactions
34 Replies
397 Views
  • Redirect
Leo katika arakati zangu za udereva boda boda nikampakia jamaa frani ambae kapanda sana hewani Yani ni mrefu sana alafu kazajia kinoma inaonekana ni mtu wa Jim sana bas akanipa safari ya kumpeleka...
0 Reactions
Replies
Views
Baadhi ya wanawake,si wote wanadharirisha sana,unakuta mama mtu mzima kavaa suruali aibu tupu,suruali imembana mpaka inaonesha maungo adhmu ya ndani, Tunawafundisha nini watoto wetu na jamii kwa...
8 Reactions
48 Replies
466 Views
Wanaodai kufanya sex zaidi ya 2 min MPAKA WENGINE ufanya 45 min na 1hr , kama wahubiri wanahubiri na kuomba masaa 6. Unapata nini? Sex ni burudani sio kazi ukichoka BAADA ya sex hiyo sio burudani...
14 Reactions
69 Replies
885 Views
Kila nkipita kitaa wananizungumzia,yan mdog wako anaoa mbele yako. Hata humu jukwaan wamenisema vibaya baada ya ule uzi wa bora wa kuwa...
9 Reactions
66 Replies
536 Views
Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua...
3 Reactions
14 Replies
235 Views
Nyota yake imeng'aa sana, hayupo kwenye mfumo Lakini imani yangu kwake ni kuwa atashinda urais 2030
3 Reactions
22 Replies
200 Views
The internet is stunned after a woman showed a completely nonchalant reaction when her man told her he had gotten married and she didn't even flinch. Lmaooo this is the level of unbothered I’m...
3 Reactions
3 Replies
91 Views
Wakuu, Hali ni mbaya kila pembe nchini,ukiwa mji wowote ktk nchi hii huwezi kutembea mita hamsini bila kukutana na mwanamke aliyevaa nguo fupi na ya kutia kinyaa na aibu kwa watazamaji. Unakuta...
8 Reactions
71 Replies
2K Views
Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia. Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu, baadhi tuna sababu za...
57 Reactions
2K Replies
158K Views
Kuna jamaa kitaa ni bodaboda ana mke na mtoto mmoja, mke wake alipoondoka kwa kugombana,jamaa sasa amekuwa mtu wa mawazo kila muda,anakuja na kujiinamia tu, Mipangilio wa maisha yake imebadilika...
8 Reactions
35 Replies
474 Views
Back
Top Bottom