Wakati yeye akipambana apate japo Abaya ya sikukuu ya Idi kutoka kwangu yeye analeta zawadi iliyopitwa na wakati ya soksi pea mbili za buku buku nimefadhaika na kuhuzunika sana ni bora asingeleta.
Wewe jimwambafai tu kuwa unawaweza wanawake,ipo siku yako inakuja ukimkorofisha akuachie hako katoto hata ka miaka miwili tu nyumbani yeye aende kwao, utatamani ukapige magoti kwa wakwe zako arudi...
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi.
Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume.
Polygamy ni...
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako.
Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio...
Habari zenu wana JF
Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika
Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake.
Jamani...
1. At the age of 14, they look very sweet, fresh and beautiful
2. At 16, they probably have their first s*x, they stick to one guy and talk about how they won't leave him.
3. At 18, they are in...
Leo katika arakati zangu za udereva boda boda nikampakia jamaa frani ambae kapanda sana hewani Yani ni mrefu sana alafu kazajia kinoma inaonekana ni mtu wa Jim sana bas akanipa safari ya kumpeleka...
Baadhi ya wanawake,si wote wanadharirisha sana,unakuta mama mtu mzima kavaa suruali aibu tupu,suruali imembana mpaka inaonesha maungo adhmu ya ndani,
Tunawafundisha nini watoto wetu na jamii kwa...
Wanaodai kufanya sex zaidi ya 2 min MPAKA WENGINE ufanya 45 min na 1hr , kama wahubiri wanahubiri na kuomba masaa 6.
Unapata nini? Sex ni burudani sio kazi ukichoka BAADA ya sex hiyo sio burudani...
Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua...
The internet is stunned after a woman showed a completely nonchalant reaction when her man told her he had gotten married and she didn't even flinch.
Lmaooo this is the level of unbothered I’m...
Wakuu,
Hali ni mbaya kila pembe nchini,ukiwa mji wowote ktk nchi hii huwezi kutembea mita hamsini bila kukutana na mwanamke aliyevaa nguo fupi na ya kutia kinyaa na aibu kwa watazamaji.
Unakuta...
Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia. Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu, baadhi tuna sababu za...
Kuna jamaa kitaa ni bodaboda ana mke na mtoto mmoja, mke wake alipoondoka kwa kugombana,jamaa sasa amekuwa mtu wa mawazo kila muda,anakuja na kujiinamia tu,
Mipangilio wa maisha yake imebadilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.