Kaka maasai
Member
- Jul 26, 2026
- 84
- 191
Ulaini ndiyo chanzo cha kuwa choko\mchicha mwiba.mwanaume haufai hata ujiangalie kwa kioo. kaa kibishi mwanaume ameumbiwa magumu.mwanaume haufai uchague mishe. mungu awasaidie wanaume na majaribu yote awape nguvu.wanaume sisi ni washindi usikubali kamwe kushindwa.