Mwanaume hafai kupenda ulaini!!

Mwanaume hafai kupenda ulaini!!

Kaka maasai

Member
Joined
Jul 26, 2026
Posts
84
Reaction score
191
Ulaini ndiyo chanzo cha kuwa choko\mchicha mwiba.mwanaume haufai hata ujiangalie kwa kioo. kaa kibishi mwanaume ameumbiwa magumu.mwanaume haufai uchague mishe. mungu awasaidie wanaume na majaribu yote awape nguvu.wanaume sisi ni washindi usikubali kamwe kushindwa.
 
Ulaini ndiyo chanzo cha kuwa choko\mchicha mwiba.mwanaume haufai hata ujiangalie kwa kioo. kaa kibishi mwanaume ameumbiwa magumu.mwanaume haufai uchague mishe. mungu awasaidie wanaume na majaribu yote awape nguvu.wanaume sisi ni washindi usikubali kamwe kushindwa.
Hayo ni yakwako wewe na njaa zako,sisi watoto wa Ushuani hatuna ujinga huo,mwendo wa bata tu.
-Kama upo kwenye kizazi cha laana,kitakuuwa,njaa mpaka unazikwa,zako buku 5,10....
 
Ulaini ndiyo chanzo cha kuwa choko\mchicha mwiba.mwanaume haufai hata ujiangalie kwa kioo. kaa kibishi mwanaume ameumbiwa magumu.mwanaume haufai uchague mishe. mungu awasaidie wanaume na majaribu yote awape nguvu.wanaume sisi ni washindi usikubali kamwe kushindwa.
Mawazo ya kimaskini tz, anata ku normalize shida kwa mwanaume akiamini ndio sifa how pathetic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom