Naomba nikumbushie hapo nyuma kidogo nili post ombi la kutafuta mwenza mwenye nia nashukuru walijitokeza baadhi ya wadada lkn nikapata safari ya ghafla mkoani niliendelea kwasiliana na kuzungumza...
Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.
Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea...
Mimi ni mwaname mwenye umri wa miaka 38 ni muislamu.
1. Awe muislamu
2.umri kuanzia miaka39 hadi45
3.asiwe na mtoto
4.Awe mvumilivu na ukubali kuishi na mtu hohe Hahe ila mwenye kutafuta.
5. Elimu...
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.
Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri...
Nataka mchumba ambaye baadae atakuwa mke, nataka nipate mwenzangu kama mchumba sasa hivi ili tuandaane kwa miez isiyopungua 5 mpaka ndoa.
Sifa
1. Awe na umri 22-24
2.mwenye elimu isiyozidi...
KWA ALIYE SERIOUS 100%
A: KUHUSU MIMI
DINI: MKIRISTO
KIMO: Mrefu wa kadri
RANGI: Maji ya kunde
ELIMU: Degree
KAZI: Sijaajiriwa
NDOA: Sijawahi kuoa
MTOTO: Sina
UMRI: 34
MAKAZI: Kagera
Mengine...
Katika maisha ya kimahusiano huwa naamini hakuna formula ya kusema mke/mme lazima umpatie sehemu fulan,waliomo humu jf ndio waliopo mtaani japo wengi humu hawapo kwenye uhalisia wao lakini wapo...
Hbr za Jumapili? Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza.
Nahitaji mke mwenye sifa zifuato:
Mcha Mungu
Mkweli
Muwazi
Umri 27 -39
Elimu yyte
Anajishughulisha
Kabila lolote
Sifa zangu:
Mcha Mungu...
Natafuta mchumba hadi kuwa mke
Awe tayari kuwa mke
Awe mkristo hata akiwa Muislam tutaongea
Age 20 hadi 24
Mwajiriwa au amejiajiri
Awe Dar es Salaam
SIFA ZANGU:
Niko Tayari kusudia
Mwajriwa /...
Mimi in mwanamme mtu mzima ninayejiheshimu, umri wangu miaka 49. Nahitaji mwanamke ambaye tutaazisha mahusiano ya kidumu muhimu awe anayejiheshimu na mkweli na mapenzi ya dhati na umri usizidi...
Kama wewe ni msichana mzuri na upo Morogoro Mjini (Municipal) basi njoo PM tuyajenge.
Umri usizidi miaka 22,
Dini ni yoyote ile
Elimu, kama umefika IV na ukajiendelezaendeleza kidogo you derseve...
Wasalaam,
Naomba kufikisha ujumbe kama nilivyopatiwa.
Dada/Mama/ Aunt wa miaka 40 - 45 anahitajika kwa mahusiano na mtu mzima mwenzake iwapo wataridhiana.
Ni vyema akawa anaishi Dar es Salaam...
Hello dear friends!
Nipo hapa kwenye hili jukwaa for the first time looking for a life partner wakumaliziana muda wetu wa maisha ulobaki hapa duniani. Ok sifa zangu ni hizi hapa. Am a woman of 33...
Habari wana bodi! Mimi ni mtanzania umri wangu ni miaka 31, nimejiajiri, NAHITAJI mwanamke umri miaka 20 hadi 27 awe anajua nini maana ya familia pia awe mcha dini sichagui kabila rangi wala...
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28
Elimu: Electrical and Electronics Engineer
Makazi: mbezi luis dar es salaam
Kazi: Kwasasa bado sijaajiriwa
Nahitaji msichana kuanzia umri wa miaka 21 tuwe...
Hellow!
Habarini wapendwa mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume mwenye nia ya dhati, bila kujali nina mtoto au sina mtoto
SIFA ZANGU
Umri:30yrs
Marital Status:Single,sijawahi kuolewa
Colour:Maji...
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 34. Mimi ni msomi ngazi ya Master's Degree. Mie ni mkazi wa Dar na ni Mtumishi wa Umma. Tangazo hili sio jipya nimeamua kulirudia tena kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.