Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naimani wote ni wazima namshukuru Mungu pia nami ni mzima,nimekuja mbele yenu tena maana mtafutaji hachoki na hakichoka ujuwe kapata. Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa Mke wangu: SIFA...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
WanaJF Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi. Awe mnene Awe anavutia Awe rangi yoyote. Asizidi 35. Awe na shughuli yake. Sifa zangu Nina...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadogo zangu, marahaba... Naomba niongee na wakubwa zangu. Kwanza ningependa kutanguliza shukuran zangu za dhati kwa Mwenyezi MUNGU, hakika wewe ni muweza wa yote. [emoji120][emoji120] Kama...
16 Reactions
39 Replies
2K Views
Mimi Umri wangu:27 Kazi: mtumishi wa selikari Mwili:mref wastan, Ngozi:maji ya kunde Naomba mwanamke mwenye uhitaji aje pm Sifa 1.mcha Mungu 2. Umri miaka 22- 25 3. Sibagui dini wala kabila
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bado ninatafuta mwanaume jamani awe HIV+. miaka 33 kuendelea awe na shughuri ya kumuingizia kipato. Zaidi awe maeneo ya Iringa,,Mimi Nina miaka 30,muajiliwa,mtoto mmoja, Asanteni karibu PM IPO WAZI
4 Reactions
44 Replies
47K Views
Vigezo; Awe Mkristo awe dhehebu lolote. Awe ana miaka isiyozidi 25 Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4 Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani. ******* Mimi ni msabato...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Karibia mwaka sasa toka nitoe tangazo la kutafuta mwenzi humu. Upweke ni kitu mbaya sana. Mimi ni kijana umri ni late 20. Natafuta mwenzi ambae atakuwa mke. Nimeajiriwa. Sichagui dini. Kwa...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili.... Mimi ni mwanaume wa miaka 34. Elimu yangu bachelor, nimejiajiri. Kulingana na majukumu yangu ya kazi imekuwa ni vigumu sana kuwa na mwingiliano wa watu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello, Poleni na majukumu ya kila siku ya kujipatia ridhiki na kulijenga Taifa. Back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa. Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye...
26 Reactions
247 Replies
34K Views
Jamani unajua "no body is perfect" thats why mimi nimeamua kuongea kuhusu udhaifu wangu katika sector ya mapenzi hasa kwenye kipengele cha "cha maneno ya kubembeleza" so jamani kwa mtu mwenye...
1 Reactions
25 Replies
558K Views
Mimi ni mwanamke mjane, 42 yrs, HIV +, natafuta mwenza mwenye hali Kama yangu, kwa maelezo zaidi DM.
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Mim ni kijana wa Umri wa miaka 37 namtafuta single mother au mwanamke yeyote wa kuwa nae kwenye mahusiano ambayo ni serious Sifa: awe serious na mahusiano Umri Kama nilivobainisha hapo juu Sababu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Sifa zangu Umri miaka 30 Kazi mwajiriwa Nna watoto 3 Sifa zake Awe ana hofu ya Mungu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kike awe mcheshi, asiwe na mambo mengi. Elimu yoyote ile. Mweupe kidogo. Umri kuanzi 20 hadi 30. Asiwe ameolewa. Awe tayali kubadilishana mawazo ya kimaendeleo. Mnakaribishwa
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Nimekuwa nafuatilia jukwaa hili kwa ukaribu Sana, asilimia kubwa ya wadada watafuta mume ni wakiristo, inakuwaje hii.
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni msichana ninaishi Dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu...
19 Reactions
239 Replies
50K Views
Nahitaji mwanamke mwenye hofu ya Mungu,asiyetaka tena maisha ya kuchezewa ovyo, anaehitaji ndoa ili apate heshima anayostahili kama mke wa mtu. Umri miaka 19-28 Elimu kidato cha 4 na kuendelea...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Umri wangu 24, dini ni mkristo, elimu chuo diploma Sifa zake: Awe na 18 + upto 23 sichagui din wal kabila
0 Reactions
4 Replies
954 Views
Back
Top Bottom