Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za majukumu, Naamini nyote mpo salama, natafuta rafiki wa kike mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa kupindukia, Dini Mwislam/mkristo. Mwenye elimu walau...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wapendwa, Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179]. Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a...
17 Reactions
161 Replies
11K Views
Morning! Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani...
15 Reactions
76 Replies
10K Views
Habari, natafuta Rafiki wa kike awe kawaida tu kikubwa ajue kujishughurisha, itapendeza zaidi akiwa katavi-mpanda au mkoa wa karibu.
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana Jf na wapenzi wasomaji wa Jukwaa Pendwa la MMU. Mimi ni kijana ambaye sijaoa na nina miaka 30+ now ila nina mchumba. Huyu mdada niko naye takribani miaka miwili sasa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Kwanza kabisa naomba namimi nijiunge nanyi katika mtandao huu, nimeamua kua mzalendo, sio lazima kutumia mitandao ya wazungu tuu tunahitaji kutumia vya kwetu pia. Niende moja kwa moja...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hallooo hodi humu ulimwenguni..mimi ni mfuatliaji wa jf kitambo almost miaka mitano nyuma ila kutokana na ubize na kutokuwa na mood ya kuexist kipindi hicho now nimeamua kujiregister kabisa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hallooo mambo vipi wadau wa jf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji msichana ataekuwa tayari tujenge uhusiano ili Mungu akijaalia nimuoe. Awe tayari kupima afya.mimi naishi mkoa wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji mdada aliye serious tuanzishe mahusiano Umri kuanzia 28-39 nipo dar shughuli zangu nimejiajiri Kama event planner hivyo natafuta aliye serious tuanze maisha ya pamoja
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi ni msichana wa miaka 25, ninaishi na virusi vya HIV, mkristo, ninasoma chuo naingia mwaka wa tatu. Natafuta mwanaume ikiwezekana baadae awe mume, awe mkristo, age kati 28-35, from Dsm, awe...
13 Reactions
75 Replies
11K Views
Wapendwa habari, mimi ni mama mwenye miaka 35 natafuta Rafiki wa kiume mwenye anaishi na vvu, nahitaji mwenye hali kama yangu ili kuepusha unyanyapaa. Vigezo awe 35 na kuendelea awe mchapakazi...
5 Reactions
5 Replies
3K Views
habari ndugu zangu! Poleni kwa msiba wa Taifa Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote. Nina uhakika yuko...
30 Reactions
158 Replies
14K Views
Hodi humu, Ndugu zangu, mimi sasa ni rasmi nataka kuoa, nimeangalia sifa ambazo wanaume wenzangu huainisha, naona zimejaa unafiki; unakuta anasema nataka mke wa kuoa awe hivi, awe na kazi, sijui...
10 Reactions
85 Replies
7K Views
Habari wanajamvi natumaini mpo salama, poleni na hasira za tozo mpya kwenye miamala ya simu . . Rejea kichwa cha barua hapo juu,mimi ni kijana mwenye akili timamu, natafuta mchumba humu jukwaani...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume wa umri wa ‘mid 30's’, nimeoa na naishi na mke wangu. Kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu. Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kuwa...
10 Reactions
157 Replies
13K Views
Habarini. Kichwa Cha habari kinajieleza. Sifa zangu:- -nina miaka 33 -nina mtoto mmoja Alhamdulilah. -mpole,msikiv,mchesh. Sifa za nimtakae:- -kuanzia 34-45 -muslim -ukiwa na watoto sawa na...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Awe nurse au Mwalimu. Mimi ni kijana mwanaume, nataka nipate mwenza wa maisha, awe na sifa hizo hapo juu, mimi ni mfanyabiashara, na kipatoa changu kinaridhisha. Mnakaribishwa DM. Zingatia...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Naitwa John natafuta mwanamke aliyepevuka na mwenye upendo. Sifa zangu: Nina upendo wa dhati Najituma Nimsikivu na mwelewa Sipendi kelele🤣🤣🤣 Niko simple Sana. Sifa za nimtakaye: Awe na upendo...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Ni kijana wenu kabisa.Asiyekuwa na mambo mengi. Sitaweka sana Information zangu zote naweka kwa ufupi. Umri 22+ Mwanachuo. Makazi;Mwanza Natafuta Rafiki wakike na wakubadirishana naye mawazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wanaJF wenzangu, ni matumaini yangu mko salama kabisa ndugu zangu. Acha niende kwenye maada moja kwa moja. Eeeh Bhana kuna mshikaji mmoja alikuwa anamla Manzi fulani hapa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom