jitulawatu
Member
- Aug 9, 2020
- 52
- 49
Nataka mchumba ambaye baadae atakuwa mke, nataka nipate mwenzangu kama mchumba sasa hivi ili tuandaane kwa miez isiyopungua 5 mpaka ndoa.
Sifa
1. Awe na umri 22-24
2.mwenye elimu isiyozidi diploma, wa degree wanasumbua sitaki ligi Nyumban kwangu maana wanajifanya wajuaji sana,
3. Awe mkristo.
4. Awe muhaya, au msukuma au mnyiramba.
5. Please isiwe artificial, iwe natural
6. Awe na uwezo wa kujishughulisha hata nikifungua biashara iwe rahisi kuendesha
7. Awe msafi
8.Awapende ndugu zangu na marafiki
9. Awe mpole kiasi asiwe muongeaji sana sitaki makelele nyumbani kwangu
10. Akiwa tabora itapendeza zaid japo sio lazima sana
UMBO NA MWONEKANO
1. Awe angalau na urefu wa wastan tu
2. Awe maji ya kunde or mweusi fresh tu ,
3. Asiwe mwenbamba awe mwenye hips na umbo namba 8
4. Awe natural, Asiwe anatumia mkorogo kabisa yan.
AFYA
1. Awe tiyari kupima kaswende, Gono, UKIMWI na kizazi
Kwa mawasiliano ni PM serious issue
Asante
Sifa
1. Awe na umri 22-24
2.mwenye elimu isiyozidi diploma, wa degree wanasumbua sitaki ligi Nyumban kwangu maana wanajifanya wajuaji sana,
3. Awe mkristo.
4. Awe muhaya, au msukuma au mnyiramba.
5. Please isiwe artificial, iwe natural
6. Awe na uwezo wa kujishughulisha hata nikifungua biashara iwe rahisi kuendesha
7. Awe msafi
8.Awapende ndugu zangu na marafiki
9. Awe mpole kiasi asiwe muongeaji sana sitaki makelele nyumbani kwangu
10. Akiwa tabora itapendeza zaid japo sio lazima sana
UMBO NA MWONEKANO
1. Awe angalau na urefu wa wastan tu
2. Awe maji ya kunde or mweusi fresh tu ,
3. Asiwe mwenbamba awe mwenye hips na umbo namba 8
4. Awe natural, Asiwe anatumia mkorogo kabisa yan.
AFYA
1. Awe tiyari kupima kaswende, Gono, UKIMWI na kizazi
Kwa mawasiliano ni PM serious issue
Asante