Sifa zangu
Umri: 30
Makazi: Tabora&Shy
Elimu: ya chuo
Kazi: Mwajiliwa
Rangi:Mweusi
Watoto: 1.
Jinsia:Me
Kuhusu Mimi: Mpole, mchapakazi
Ninayemtaka
Sifa zake
Umri:20-28
Elimu:Ajue kusoma na kuandika,form four na kuendelea itapendeza
Kazi:Sio kigezo muhimu
Rangi: Yoyote awe mwenye afya, asiyejichubua.
Makazi: Tabora,Shinyanga,Simiyu,Geita.
Watoto : 0-1
Sifa za ziada;
1. Awe na moyo wa kulea watoto wake na wasio wa kwake.
2. Awe na heshima ya kila mtu wakubwa kwa wadogo.
3.Awe anajua kupika hadi kukaanga, maana napenea sana nyama za kukaanga.
Kama una sifa hizo ni PM tuchati.
Umri: 30
Makazi: Tabora&Shy
Elimu: ya chuo
Kazi: Mwajiliwa
Rangi:Mweusi
Watoto: 1.
Jinsia:Me
Kuhusu Mimi: Mpole, mchapakazi
Ninayemtaka
Sifa zake
Umri:20-28
Elimu:Ajue kusoma na kuandika,form four na kuendelea itapendeza
Kazi:Sio kigezo muhimu
Rangi: Yoyote awe mwenye afya, asiyejichubua.
Makazi: Tabora,Shinyanga,Simiyu,Geita.
Watoto : 0-1
Sifa za ziada;
1. Awe na moyo wa kulea watoto wake na wasio wa kwake.
2. Awe na heshima ya kila mtu wakubwa kwa wadogo.
3.Awe anajua kupika hadi kukaanga, maana napenea sana nyama za kukaanga.
Kama una sifa hizo ni PM tuchati.