John Madela anahitaji aoe mke wa kinyaturu huko singida ameahidi kumpa sh 150,000 (Laki moja na nusu) cash yeyote atakaye msaidia kupata mke kutoka kijijisi sio mjini.
Sifa za John Madela
umri...
Mkishapeana mawasiliano mtu akakwambia anaomba picha yako...tuma.
Unapomwambia "usiwe na haraka utaniona tu" maanake unaficha nini?
We si ndio umebandika tangazo kuwa una shida ya kuolewa? Picha...
Habari wana JF.
Nahitaji mke wa kuoa kama itawezekana ndani ya mwaka huu.
Sifa zangu.
Umri, 27
Dini, mkristo
Kazi, fundi Umeme
Sifa za mke nimtakaye.
Awe mrefu kiasi
Umri. 20- 25
Dini. Yoyote...
Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa
Sifa zangu:
.mkristo
.sina mtoto
.Mwajiriwa wa serikali
.Elimu yangu Shahada
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo:
.mkristo...
Natafuta mwanamke wa kuoa umri usizidi miaka arobaini. Mimi nina miaka 38 ni muislamu ila asiwe na mtoto na awe muamiminifu, subira Heshima uvumilivu
Namba 0782210033
Wasalaam,
Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za...
Nawapenda kwasababu wamepevuka "mature"
Wanaujua uchungu na thamani ya Ndoa
Awe na elim yoyote
Mimi niko dar,ni mfanyakazi,nina miaka 34
Age is just a number
MIMI NI MWANAUME
NINA UMRI WA MIAKA 34
NI MFANYA BIASHARA
NINATAFUTA SINGLE MAMA TUWE KWENYE RELATIONSHIP THEN TUTAAMUA BAADA YA KUWA PAMOJA.
VIGEZO:
AWE MKRISTU.
ASIWE MWEMBAMBA / MNENE...
Sifa zangu..
umri: 33
kazi: nimejiajiri/kuajiriwa
elimu: degree moja
makazi:kanda ya kaskazini
Sifa za mke..
umri: 18-35
elimu: form four ++
tabia/sifa: awe mpambanaji/upendo/tabia njema...
Naitwa Jackson nipo Moshi,
Sifa zangu mimi ni mkweli, muwazi, mpole, kazi nimejiajiri, umbo langu ni saizi ya kati sio mnene wala mwembamba na umri wangu ni miaka 26. Natafuta mchumba mwishowe...
Umri usiozidi miaka 35.
Awe mtanzania wa kuzaliwa.
Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana)
Awe amesoma angalau kiasi.
Awe mwenye Hofu ya Mungu.
Awe anajitambua na mwenye...
Nahitaji mke rafiki na hatimaye kuwa mke,sifa zifuatazo zinatakiwa:
I) Awe mkatoliki na anajua maana dini
ii) Hajawahi kufunga ndoa
III) Awe na umri kuanzia miaka 22-28,hata akiwa na mtoto mmoja...
Kuna sababu nyingi za kibinafsi, kimaadili, kiuchumi na kijamii zinazoonesha kuwa wakati mwengine kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo lisilobudi.
Kabla ya kulieleza jambo hili ni vyema tukaelewa...
Kule jukwaa la dini sioni watu ....Habarrrrr njema kwa wenye matatizo ya vizazi, kwa mara yakwanza katika maisha yangu nilisikia jana kuwa kuna spea za kizazi..... INAWEZEKANA???
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nina miaka 24, natafuta mke mwema awe:
1. Muislam
2. Umri miak 18-20
3. Mwenye kujiheshim
4. Amekulia katika mazingira ya kidini (mwenye hofu ya Mungu)
4...
Habari za muda huu wana JF.
Katika changamoto kubwa niliyonayo katika maisha yangu ya mahusiano..nipo sensitive sana kwenye mapenzi hasa pale mpenzi wangu anapofanya jambo la kuniumiza.
Kiufupi...
Nina miaka 25, ni mwajiriwa.
Nahitaji mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza nahitaji ndoa
Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa awe mcha Mungu na mwenye hofu ya mungu
Umri wake uwe...
Sifa zangu
1. Mkristo( dhehebu A.I.C)
2. Nina miaka 30
3. Mwenyeji kanda ya ziwa.
4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo)
5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde.
6...
Nipo kanda ya kati dodoma
Umr 27 yrs
☆kazi: mganga njaa, dei waka kiraka a.k.a multipurpose
☆sina nyumba
☆ sina gari
☆elimu la saba
Natafta msichana wa kuoa kuanzia miaka 18 up to 30
Ajue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.