Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
SIFA ZANGU Umri 36 Dini: Mkristo Elimu: Shahada ya Uzamili. Ajira: Mwajiliwa wa serikali. Urefu : 172cm SIFA ZA MWANAMKE Umri 30-36 Dini: Yoyote Kabila: Lolote. Elimu: Diploma na kuendelea. Kazi...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
John Madela anahitaji aoe mke wa kinyaturu huko singida ameahidi kumpa sh 150,000 (Laki moja na nusu) cash yeyote atakaye msaidia kupata mke kutoka kijijisi sio mjini. Sifa za John Madela umri...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Mkishapeana mawasiliano mtu akakwambia anaomba picha yako...tuma. Unapomwambia "usiwe na haraka utaniona tu" maanake unaficha nini? We si ndio umebandika tangazo kuwa una shida ya kuolewa? Picha...
8 Reactions
53 Replies
3K Views
Habari wana JF. Nahitaji mke wa kuoa kama itawezekana ndani ya mwaka huu. Sifa zangu. Umri, 27 Dini, mkristo Kazi, fundi Umeme Sifa za mke nimtakaye. Awe mrefu kiasi Umri. 20- 25 Dini. Yoyote...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitwa Glory, nahitaji mahusiano serious ambayo yatapelekea ndoa Sifa zangu: .mkristo .sina mtoto .Mwajiriwa wa serikali .Elimu yangu Shahada Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo: .mkristo...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa umri usizidi miaka arobaini. Mimi nina miaka 38 ni muislamu ila asiwe na mtoto na awe muamiminifu, subira Heshima uvumilivu Namba 0782210033
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Wasalaam, Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani. Sifa za...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
Nawapenda kwasababu wamepevuka "mature" Wanaujua uchungu na thamani ya Ndoa Awe na elim yoyote Mimi niko dar,ni mfanyakazi,nina miaka 34 Age is just a number
1 Reactions
13 Replies
4K Views
MIMI NI MWANAUME NINA UMRI WA MIAKA 34 NI MFANYA BIASHARA NINATAFUTA SINGLE MAMA TUWE KWENYE RELATIONSHIP THEN TUTAAMUA BAADA YA KUWA PAMOJA. VIGEZO: AWE MKRISTU. ASIWE MWEMBAMBA / MNENE...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Sifa zangu.. umri: 33 kazi: nimejiajiri/kuajiriwa elimu: degree moja makazi:kanda ya kaskazini Sifa za mke.. umri: 18-35 elimu: form four ++ tabia/sifa: awe mpambanaji/upendo/tabia njema...
3 Reactions
6 Replies
947 Views
Naitwa Jackson nipo Moshi, Sifa zangu mimi ni mkweli, muwazi, mpole, kazi nimejiajiri, umbo langu ni saizi ya kati sio mnene wala mwembamba na umri wangu ni miaka 26. Natafuta mchumba mwishowe...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Umri usiozidi miaka 35. Awe mtanzania wa kuzaliwa. Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana) Awe amesoma angalau kiasi. Awe mwenye Hofu ya Mungu. Awe anajitambua na mwenye...
10 Reactions
47 Replies
5K Views
Nahitaji mke rafiki na hatimaye kuwa mke,sifa zifuatazo zinatakiwa: I) Awe mkatoliki na anajua maana dini ii) Hajawahi kufunga ndoa III) Awe na umri kuanzia miaka 22-28,hata akiwa na mtoto mmoja...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Kuna sababu nyingi za kibinafsi, kimaadili, kiuchumi na kijamii zinazoonesha kuwa wakati mwengine kuoa mke zaidi ya mmoja ni jambo lisilobudi. Kabla ya kulieleza jambo hili ni vyema tukaelewa...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Kule jukwaa la dini sioni watu ....Habarrrrr njema kwa wenye matatizo ya vizazi, kwa mara yakwanza katika maisha yangu nilisikia jana kuwa kuna spea za kizazi..... INAWEZEKANA???
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina miaka 24, natafuta mke mwema awe: 1. Muislam 2. Umri miak 18-20 3. Mwenye kujiheshim 4. Amekulia katika mazingira ya kidini (mwenye hofu ya Mungu) 4...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana JF. Katika changamoto kubwa niliyonayo katika maisha yangu ya mahusiano..nipo sensitive sana kwenye mapenzi hasa pale mpenzi wangu anapofanya jambo la kuniumiza. Kiufupi...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Nina miaka 25, ni mwajiriwa. Nahitaji mume awe very serious akiwa mkristo itapendeza nahitaji ndoa Akiwa mkoa wowote ama nchi yoyote ni sawa awe mcha Mungu na mwenye hofu ya mungu Umri wake uwe...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Sifa zangu 1. Mkristo( dhehebu A.I.C) 2. Nina miaka 30 3. Mwenyeji kanda ya ziwa. 4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo) 5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde. 6...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipo kanda ya kati dodoma Umr 27 yrs ☆kazi: mganga njaa, dei waka kiraka a.k.a multipurpose ☆sina nyumba ☆ sina gari ☆elimu la saba Natafta msichana wa kuoa kuanzia miaka 18 up to 30 Ajue...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Back
Top Bottom