Habari wana jf?mimi ni mwanamke wa miaka 31,naishi na virusi vya ukimwi,natafuta mchumba anaeishi na vvu kama mimi ili tufarijiane na tulinde wengine.Awe mkristo,kabila lolote na awe na shughuli inayomwingizia kipato,awe na miaka 30-36.nina elimu ya diploma na nimeajiriwa serikalini.naishi dar ila hata wa mikoani karibuni.kama uko serious nitumie email ansila.jotam@yahoo.com,naomba wana jf mnitie moyo kwa comments zenu na Mungu atawabariki.