acha niitwe mbaguzi... umri wangu ni miaka..30.. elim yangu dgree ya madin.. sijawahi owa wala sina mtoto.!! nafanya kazi za kuhama hama yani miezi 6 MTWARA na 6 MARA... nahitaji mchumba awe na...
Am zakayo from kaham shy tz am looking a wisdom girl n beautiful whenever you're more info call or text n soon possible i'll reply a realy answer
789372822
Uko wapi wa kunitoa upweke jamani..? Nimekuwa nikisoma thread humu za kutafuta wenza nami nimeona nijiunge ili niweze kutafuta mwenza. Please nipo serious. Mi ni mwanamke mwenye miaka...
awali ya yote namshukuru mungu kwa kuamuka salama kabisa kwa kweli nilipata mwanamke kwa njia ya email ambaye tulikuwa tunachat naye kalibia miezi mitano hatujaonana isipokuwa picha alinitumia na...
Alie serious kama mie tuwasiliane basi.
Ambae yupo tayari kusonga mbele nami kimaisha.
Naomba niandikie barua ndefu jieleze kwa makini juu yako, kama vile umri ulio nao, unapoishi, dini yako...
i need some1 to make me happy jaman.coz nimekuwa na mawazo sana ya maisha so nahitaji mpenz wa kike 2farijiane nae na kupunguza baadhi ya stress. Plz kama upo teyari nisms through dis no 0656020122
Nimezaa na mdada ambaye kiukweli ckuwa na wala cna malengo naye kimaisha, cwezi sema ni bahati mbaya no! Ila nihali ambayo unapofanya ni kama hujitambui vile.ishu nikwamba naishi mbali na mchumba...
km kichwa cha habari kinavyojieleza kuna mijitu humu kazi kukosoa wenzao tu hili ni jukwaa la love connect it means ukiingia humu unalijua lengo la humu ni connection za maloveee tu sasa m2 kaweka...
"Inanipa shida kidogo kuona kila mtu anaanzisha thread ya kutafuta Mchumba kwa kasi hii:
kabla hujaweka thread yako hapa hebu jiulize maswali yafuatayo yatakusaidia ktk safari unayoitaka KUANZA IT...
Hellow,naitwa Sean nina miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana pale IFM,ninaishi Dsm. Natafuta marafiki,any gender maana I'm interested in networking pia,I'm not married nor in anything...
Habari wana jf,mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 27, nna elimu ya chuo kikuu,
kwa sasa nnafanya kazi katika taasisi binafsi. natafuta mchumba ambaye atakuwa mume wangu.
awe na umri angalau...
Mimi ni mwanaume nina miaka 23 nipo chuo mwaka wa tatu natafta msichana wa kubadilishana mawazo kwa njia ya email awe kutoka kanda ya ziwa wachaga na wajita tafadhali email yangu ni...
Kipekee nipende kumshukuru Mungu kwakuwa ni kwa neema tu! Mungu ana sababu na anatupenda kuliko sisi tunmavyojipenda wenyewe! Well siku 365 ni nyingi mno lakini ni fupi ukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.