Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa Mwl Kimaro nafundisha Sec moja ipo Moshi vijijjini nimekua nikipata tabu kweli kwenye suala la kuchagua mke kama mnavyojua fani yetu hii bila mke hawa watoto watatufunga. Natamani kuoa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Lawrence my name contact me through thobiasezekiel.99@gmail.com.mambo mengine tutafahamishana tukiwa twachat.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naishi mza. nikijana wa miaka 25 natafuta mchumba msaada wenu tafadhar
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta mchumba kutoka Tanga au mwenye asili ya pwani.... Nafahamu ni ngumu sana kupata mwenye mapenzi ya kweli kutoka mtandaoni..tuwasiliane hapo chini tuone tutafika waoi Mawasiliano...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hamjambo wakuu?... Naitwa Baraka Juma umri wangu miaka 28 Single boy natafuta rafiki Contact 0785746105
0 Reactions
6 Replies
1K Views
sifa: umri kuanzia 25-35 elimu kuazia kidato cha nne dini mkristo asiwe na kazi ya kuajiliwa,awe amejiajiri awe tayari kuishi mkoa wowote wakati wowote. asiwe na mtoto. awe na tabia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari!!kama wewe ni mdada uliye single na upo huru naomba ni PM tufahamiane tuwe friends na kuelekea kuwa wapenzi kama tutaendana na kukubaliana!! asante kwa uelewa karibu!!
1 Reactions
18 Replies
2K Views
sifa zangu ni: Mrefu six feet, mweusi wastani, mkristo safi, msomi, mwembamba wastani sifa zake awe; mweupe, si mfupi awe wastani au mrefu, mkristo safi, msomi kuanzia diploma au zaidi, awe...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaman habari zenu Wana JF, Naitwa France jina halisi mimi ni kijana wa kitanzania umri wangu ni miaka 26 ni mrefu wastani na ni mwembamba wastan rangi Yangu ni majikunde naishi Dar maeneo ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 30 mnyaturu, maji ya kunde, nimehitimu degree in mining engineering. Namtafuta wa ubavu wangu awe mnyaturu,maji kunde, awe angalau mwl grade au diploma, umri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta mchumba ambaye Mungu akijalia tuishi pamoja hapo baadae. Sifa zake... 1. Dini - mkristo 2. Kabila - lolote 2. Umbile - Hasiwe mfupi sana wala mnene sana. 3. Umri - hasizidi 27 4...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
I am very good looking man, i am 6ft tall, average body bulder, free from diseases, kind, loyal, charming and educated, i am not rich or loaded with cash, but i am a hard worker and i dont believe...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46,ninatafuta mwanamke wa kufunga nae ndoa,sina ubaguzi wowote ule na nipo Serious juu ya suala ili,yule mwanamke aliyekuwa tayari kuingia ktk maisha ya Ndoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana Nna miaka 31, mkristo(RC), Nimeajiriwa Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde) Makazi yangu ni dar Elimu-BA Nna watoto wawili Sifa: Awe na umri kati ya 25-28 Awe mkristo Awe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaams mimi ni single mother nina 42yrs kwa atakaesoma akaelewa na akaweza kumatch please you are welcome to start a new family, age awe between 44 hadi 50.
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Ningependa kupata rafiki wa kike mwenye asili ya kiarabu umri asiwe amezidi miaka 21......anaweza akanifuata kwny PM kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, nipo Dar, natafuta mwanamke mwenye umri wa miaka 27-37 mnene kiasi, mwenye kujishughulisha na anayeish i Dar. Hii ni kwa ajili ya kupeana raha, mwenye nia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
pole na kazi na mfungo wa ramadhan wana jf,mim ni kijana ambae tem iliyopita niliutupia uzi mkali wa kusaka mchumba,ila nimejikuta kujilaumu kwa hlo kwani mchumba niliempata ananipa wakati mgumu...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Sifa za ninayemtafuta umri 20-25, atleast post secondary education, umbo lolote ila asiwe mnene sana (bonge), sura ya kuvutia kiasi, tabia njema, asiye na mtoto na awe tayari kuchek afya, awe...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Baada ya upweke wa muda mrf kwangu,nimejikuta kumpa mpenz wa roho yangu,today nimeamua kumurusha live wana jf mmjue,anaitwa seniorita precious,nashukuru sana jf kwan kupitia nyie nimempata mchumba...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom