habari!!kama wewe ni mdada uliye single na upo huru naomba ni pm tufahamiane tuwe friends na kuelekea kuwa wapenzi kama tutaendana na kukubaliana!! Asante kwa uelewa karibu!!
Sasa unavoniita dada ndo nikueleweje sasa hunitaki au?nimekujibu PM dada Evelyn
Sasa unavoniita dada ndo nikueleweje sasa hunitaki au?
Naona ananifukuza kwa kutumia kitenzi kikurupushi "dada evelyn"EvelynSalthahahahahaha akuita dada ten kiruuu kiashiria hiki
Naona ananifukuza kwa kutumia kitenzi kikurupushi "dada evelyn"
Evelynsaltkitenzi kikurupushi hahaha unavituko wewe jamani
una miaka mingapi.. ni vizuri ungeweka na qualities unazotaka ili tujichuje babangu fanya ivo kama hutojali