Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Namwitaj xana rafki wa kike. umr miaka 17 had 25 ' Awe na uwezo wa kunipa ushaur kuhusu life yangu-
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mim nina miaka 24,nina ishi dar,ni mrefu kias,pia nimjasiriamali,natafuta msichana mwenye umr kuanzia miaka 18-25 awe ana ishi dar'.Tafadhal ni PM tupeane contact
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari nina miaka 27. Ni mhasibu. Natafuta mke awe ameajiriwa selikarini
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta marafiki wa kike na kiume
1 Reactions
13 Replies
2K Views
hi wapendwa, mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 24. Nimemaliza degree yangu ya kwanza mwaka 2013 chuo kikuu cha Dodoma (UDOM). sasa nimefanikiwa kupata kazi NSSF Dodoma kama assistant...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI NAHITAJI MWANAMKE MSTAARABU TUWE TUNAKUTANA NAE FARAGHA SIKU ZA JMOSI MCHANA TU.KWA ALIYE TAYARI KARIBU.KAMA HUHUSIKI PITA KIMYA.SHUKRAAAAAN:A S wink:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
natafuta mchumba seriously guyz...anicheck knye 0719165399
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Can i get a hubby material?coz i heard good man are,already taken,other are not yet born other are dead and gone so tell me are they existing???
0 Reactions
39 Replies
2K Views
Natafuta marafiki wa kike na kiume umri kuanzia miaka 30 mpaka 40
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafta rafiki wa jinsia yoyote kwa ajili ya kushauriana,am a tanzanian gal aged 22
1 Reactions
12 Replies
1K Views
mimi kijana wa kiume nina miaka 24 natafuta mwanamke wa kuoa mi ni mkazi wa Kahama. Kama upo tayari post ujumbe wako
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimerudi toka shule nilikokuwa nafanya PhD yangu. Nimeamua kutafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu. Napenda awe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 35. Kabila lolote. Rangi yoyote. Dini mkristo na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hallo Jf natafuta msichana mwenye umr wa miaka 18-25 ambaye anaish dar,tafadhal ni PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni jimama gan yko free mwenye mkwanja niwe namchangamsha damu na yye anijenge mifuko..? kma yupo ajitokeze chap
0 Reactions
2 Replies
840 Views
Nashukuru baada ya kuweka tangazo kwa mara ya mwisho wamejitokeza wengi. Na nimefanikiwa kumpata mtu wa interest yangu mpaka sasa tunafanya mawasiliano kwa mara nyingine nitaonekana hapa jukwaani...
3 Reactions
49 Replies
5K Views
jaman wana jf mm ni kijana wa miaka 24 n mwanafunz wa chuo flan mbeya nahitaj sana kuwa na mchumba lkn nimekuwa muoga sana kutongoza nahisi kama ntaonekana nadanganya
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu, natumai mko salama. Naomba kuwasilisha kama nilivyoagizwa nina rafiki yangu kipenzi amechoka kukaa single kwa muda mrefu xo anatafuta mwanaume aliye single pia, mkristo...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Jama mimi nahitaji gf ambaye atanifaa kindoa na kimaisha ndani na nje mwanzo na mwisho juu na chini shida na raha napatikana zanzibar namba yangu ni 0774368196
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya kuvumilia na kua na subira, natangaza rasmi kutafuta msichana atakae kua ubavu wangu wa maisha. Sifa Dini: mkristo Umri: miaka 20-28 Tabia: upendo & mvumilivu Umbo: la wastani...
0 Reactions
3 Replies
959 Views
I'm energetic man aged 32 yrs wth average body type,degree holder,employed & lives in Dsm. I'm single wth no kid but I deserve 2 be a lovely Dady who is able 2 take care 4 a family wth presence of...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom