Hali hii inanitisha sana nahitaji ushauri!

Hali hii inanitisha sana nahitaji ushauri!

Abel james

Senior Member
Joined
Jun 12, 2014
Posts
103
Reaction score
8
pole na kazi na mfungo wa ramadhan wana jf,mim ni kijana ambae tem iliyopita niliutupia uzi mkali wa kusaka mchumba,ila nimejikuta kujilaumu kwa hlo kwani mchumba niliempata ananipa wakati mgumu coz nina mawasiliano nae kwa muda miez miwili tunachati tuu na hataki nimpigie cm nisikie saut yake ila anataka tuchati tuu,nikimuuliza kwanin hvyo,ananijibu ipo siku ntasikia saut yake na syo leo,na kanitumia pesa kibao tena bila kuombwa,anadai ananijali ila naogopa kwanin hatak nisikie saut yake!nimemuomba mara nying nimsikie najibiwa siku bdo haijafika ya kumsikia,kusema kwel maji yamefika shingon ,nimechoka kabisa wapendwa nimefikia mahal pa kufikilia kuchange namba,kwan anatuma pesa nyingi si mchezo na hatak nimsikie,na anachat kwa kiingeleza vizur sana kulko kiswahli,nisaidien kwa kuni pm au kunitumia sms kupitia 0763175935
 
Hahaa nimecheka kwanza.naungana na Honey faith wewe ni she au he nijibu kwanza hapo
 
Mkuu unatafutwa kuliwa Tigo nahisi wewe ni ME
 
duh! Mkuu umenitisha sana, nlikuwa najiandaa kuleta bandiko la kusaka hapa kumbe ni ishu! Ngoja tukomae mtaani kwetu sasa hawa wa hapa anonymous kumbe shida.
Hela yake ushakula ka sh. ngap hv?
 
Haijalishi wewe ni me au ke jiandae kuliwa kinyume nyume
 
Niungane na wajumbe wenzangu toa utambulisho wa jinsia kwanza
 
Npe kwanza hzo ela nusu yake kisha nkuambie nn cha kufanya.
 
Hahahahah kuna mchizi wangu yalisha mkuta hayo ikafika hatua akipita sehemu anatumiwa sms na demu umependeza bt mtu hamuoni akizani labda kakaa sehemu kamuona napita, akimuuliza uwapi anamwambia we usijali lakini umependeza, na alikua anamtumia hela hivyo hivyo, huyoo jini teh teh ngoja akufumue!!
 
itakuwa wewe ni mwanaume na unaewasiliana nae ni mwanaume pia,wewe endelea kuchukua hizo ela huku ukijiandaa na show ya nguvu
 
Weka Namba ya huyo mtu hapa,wataalamu,tukusaidie.Umetandaza tena namba yako hadharani "SUBIRI POPOBAWA UPATE SHUGHULI.
 
Back
Top Bottom