Natafuta mchumba kwa mara ya kwanza

Natafuta mchumba kwa mara ya kwanza

Hehehehe,,! hohohohoho, wavulana wadigital mnachekesha kweli,
kwa hiyo wewe unatafuta mchumba saa sita za usiku, mchumba wa mtoto wa nan! utampata.

mihemko ya punyeto imekushida unaona ujifariji jf.
pole sana!
 
Hiyo dini ndio naisikia leo, halafu huna hakika mbona umeweka tetesi?
 
Niko na natafta mke,mmi ni muumini wa dini ya kibahai,natafta mchumba wa dini yyte,awe na elimu walau ya chuo(ikiwezekana ) mweupe kwani me mweusi,asiwe bonge,staweza kumbeba tukiwa bichi,awe na umri usiozidi miaka 22/23,ayatambue bayana majukumu ya mke,awe tayari kuishi Dar au Mbeya.asiwe mnyakyusa..

Heading inasema unatafuta mchumba, maelezo yanasema unatafuta mkeee, WTF

Hapa jukwaani unajingata hvyo live live itakuajee
 
Hehehehe,,! hohohohoho, wavulana wadigital mnachekesha kweli,
kwa hiyo wewe unatafuta mchumba saa sita za usiku, mchumba wa mtoto wa nan! utampata.

mihemko ya punyeto imekushida unaona ujifariji jf.
pole sana!

kanunue sabun ya giv ueke ndan, ukjhc maruhan kimbilia bafun achansha miguu af uhondo ukzd sana bas cmamia vidole..watakujuaje team nyetoz
 
Hehehehe,,! hohohohoho, wavulana wadigital mnachekesha kweli,
kwa hiyo wewe unatafuta mchumba saa sita za usiku, mchumba wa mtoto wa nan! utampata.

mihemko ya punyeto imekushida unaona ujifariji jf.
pole sana!

we ropoka tu mjini hapa,hata wanamme wanaliwa
 
Jaman nataka tu asiwe mnyaki .nataka kbl zngne kabisa jamn
 
Heading inasema unatafuta mchumba, maelezo yanasema unatafuta mkeee, WTF

Hapa jukwaani unajingata hvyo live live itakuajee

Ningesema tu mchumba usingeelewa whether ni wakike au wakiume neno mke limesimama kunitambulisha mi kidume we vipi,kiswahili usipokijua vema utakuja kupatkana badala ya kupata mkuu...
 
Mnyakyusa ananini kaka? Mbna unatutisha wanyakyusa?

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

agripa nanine nguswigha loli uswe tulinafiki??

isagha kumyetu ipinda kisale kyela mbeya vhalipo vakikulu vhanunu fijooo..
 
Last edited by a moderator:
agripa nanine nguswigha loli uswe tulinafiki??

isagha kumyetu ipinda kisale kyela mbeya vhalipo vakikulu vhanunu fijooo..

Ahaaahaha dear bampami,hauna haja ya kujuilza kiivo...bas tu..nahc kutowataka wanyak labda ninahstoria mby nao never knw.....
 
Last edited by a moderator:
Me siyo mnyakyusa ila wanyakyusa ni wazuri na wa adabu balaa na zaidi wanajitambua japokuwa wewe unataka mwenye miaka 22/23 afu awe mke,umri huo wengi hawajajitambua subiri ukue ili uchague mwenye umri kidogo zaidi..
 
agripa nanine nguswigha loli uswe tulinafiki??

isagha kumyetu ipinda kisale kyela mbeya vhalipo vakikulu vhanunu fijooo..

ulinyakyusa ugwe?? ndipakuswigha ulu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom