Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu wana jamvi.mm naitwa mlossy ni mwanachuo wa chuo cha kodi (ita)dsm,natafuta mchumba wa kumuoa kwani maisha ukapela yamenichosha.kwa aliye tayari tuwasiliane kupitia 0713153696/0754953637.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mie naitwa john natafta mke,sijali dini wala kabila wala umri..... msichana yyte ambaye yuko tiari kua na mie anicheki kwa contact hiz... 0756763448 AU 0657035695 karibuni...........
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa awe na umri wa miaka chini ya 24 kabila lolote aliye tayari anitafute Kwa 0759941394.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HELLO JF Natafuta mwanamke wa kuowa yule atakaeleta utulivu katika nafsi yangu sifa za ninaemuhitaji ni: 1 awe mrefu kiasi si chini ya futi 5.0 2 awe na si muajiriwa 3 awe anatoka katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Aliye single na anahitaji mpenzi au rafiki nipo anitafute. umri, elimu na kazi sio issue nitamheshimu na kumjali.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mim ni mwanaume umri miaka 31 sichagui mwanamke ni yeyote anaye his anaweza kuwa mkewangu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mchumba na baadae awe mke, sifa zifuatazo; 1. Awe mrembo (Habari za uzuri tabia, mara kwenye macho ya blah blah sitaki) 2. Asiwe mpiga mizinga (Mara hela ya kusuka, mara ya vocha mara...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
1. Age 33-35 2. Awe mchagga 3. Awe anapenda kufanya mila 4. Awe tayari kufunga ndoa ya kimila. Serieous. Kama vp ni PM
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari zenu wadau, Mimi ni Mvulana wa miaka 28, Natafuta Mchumba wa kufanya nae maisha, awe na umri kuanzia 20 - 26, kabila lolote kasolo Mzalamo, Awe mkristo mwenye kumuogopa Mungu, hata...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mvulana miaka 28, naishi dar natafuta mchumba mkristu, kwa walio siriaz tu. Ani pm
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Mimi ni mvulana umri 30 yrs. Mwajiriwa. Natafta girlfriend age 20-32, Mwenye mahitaji sio mbaya akini pm au 0717088198
0 Reactions
3 Replies
845 Views
Natafuta mume WA kunioa tuishi milele inshaala awe muislam,,,umri uwe kuanzia 35 NA kuendelea sitojali kama unamke,,,,maisha yawe at list uwe unayamudu,,,,,awe anaishi far au sehemu yoyote sijali...
2 Reactions
45 Replies
7K Views
Awali ya yote namshukuru Mola muweza wa yote. Pili naishukuru JF kwa kuanzisha jukwaa hili la LOVE CONNECT. Bila shaka jukwaa hili limeunganisha wapenzi wengi,japo ni jukwaa ambalo baadhi ya...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
Kichwa cha habari chajieleza ni PM umri wangu 28 kwa maelezo zaidi, sichagui dini, umri, kazi wala kabila.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji msichana wa kuoa. Age: 33-37yrs Asiwe na mtoto kama unafaa ni PM
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Wadau Kama Title Yangu Inavyo jieleza,nahitaji Girlfriend Awe Under 22yrs Same To Me So Nahitaji Girlfriend Wa Umri Huo Ili Tuweze Kwenda Sambamba, Mengine Zaidi Tutafahamishana Kupitia...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta mtoto mzuri anaejua namna ya ku enjoy mapenz awe na english figure,mweupe, collage au high school,christian,umri miaka 20-23 akinata na beat nikinata na beat basi ndio wife huyo....cause...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msichana awe na sifa zifuatazo :Awe mwislamu :Awe mfupi kiasi,coz mm ni mrefu. :Rangi: yoyote :Body type: Bantu type :Umri 22-25 :Elimu atleast Form4 :Awe anajua kutafuta Maisha, sio mtumiaji tu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina miaka 37...Hawe ni mwanamke anayejitambua na anajua maana ya maisha anayejali na kutambua umuhimu wa mwenzake katika maisha. Nina jiheshimu na ningependa Kupata mwanamke wa haina hiyo...
1 Reactions
113 Replies
12K Views
uko wapi ubavu? Mume muislamu,umri wake miaka 30-35.Awe mwajiriwa au shughuri yoyote inayomwingizia kipato,mrefu mwili wa wastan,kabila lolote. Rangi yeyote ila akuwa mweupe itakuwa vema.AWE NA...
1 Reactions
84 Replies
13K Views
Back
Top Bottom